Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,586
- 11,365
Asante na Amina sanašPole cute,,,Barikiwa sana
Asante na Amina sanašPole cute,,,Barikiwa sana
Kwanini uumie na kimoja chali wakati kuna wanaume mnakesha cutehapan hapan jiran nataka nijipumzishe tu kila sik moyo wang unaumia, nataman nikusimulie ila ndo siwezi![]()
Hahahahaha..kabisa kabisajirani hautaki kuwa shahidi?
Nimezunguka kote huko sijaona kama wewe. You're the best among all.

Nafurahi kila nikiingia humu nkisoma nacheka tu![]()

šššāļøhahaha huu uzi ni wa kufurahishana dear tuongeze siku za kuishi tu hapa ni No stress![]()
mpaka nivimbiwe




mbavu zangu mimi,, unavimbiwa mpka unashindwa kupumua unabaki unahemea juu juu kama churaMwisho wa siku anakufa ikiwa imombavu zangu mimi,, unavimbiwa mpka unashindwa kupumua unabaki unahemea juu juu kama chura
Yaan atafukuzwa na huku kwangu![]()
, ila usimkubali mahi wangu nitalia

Tuchekeeeeeeeeeeeeeeeeehata saiv umemkazia ndo maan anajiombelesha msamaha, saiv simtaki abaki huko huko, ila usimkubali mahi wangu nitalia
![]()
Mwisho wa siku anakufa ikiwa imo





hivi unajiona lakin,, kwahiyo unafurahia si ndio? na hap umetoka kunibembeleza aaah

Aisee šIna semekana ali mbaka msanii mwenzie, na pia Ile case ya Tupac ina fukuta moto
Hahaha..........jiandae kumpokea njiwa wa Babu soon š¤hay mlete huyo njiwa kwanza alf malipo nitafany baada ya salam kupokelewa![]()
Hahaha..........jiandae kumpokea njiwa wa Babu soon
Na hivi Bibi yako na Mimi tulivyomisi Ubwawa wa shughuli, tunatamani mmalize huo mchakato mapema ili tule Ubwawa wa harusi yenu mapema![]()
,, ufanye kweli ili nikuletee kitukuu kabla macho hayajaanz kupata ukungu

Aiseealinifanya nikapend hiz live band ila saiv tunaachana sa itakuajesaiv kila nikiskia band yoyot namkumbuka,, shadow Shadow pepo utaiskia wa wengine nakwambia
š¤£š¤£š¤£Kumbe roho yako ndo ilipolalahata saiv umemkazia ndo maan anajiombelesha msamaha, saiv simtaki abaki huko huko, ila usimkubali mahi wangu nitalia
![]()
š¤£š¤£š¤£alinifanya nikapend hiz live band ila saiv tunaachana sa itakuajesaiv kila nikiskia band yoyot namkumbuka,, shadow Shadow pepo utaiskia wa wengine nakwambia