Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,849
- 57,527
Yaani ukifika umri wetu huu wa miaka 70+ baridi linakuwa linapiga hadi mifupa 🤗Kumbe babu
Yaani ukifika umri wetu huu wa miaka 70+ baridi linakuwa linapiga hadi mifupa 🤗Kumbe babu
Polee sana babuYaani ukifika umri wetu huu wa miaka 70+ baridi linakuwa linapiga hadi mifupa 🤗
Huwa nawaza matajiri Wana lalaje??, hasa wale wenye umoja.Hakuna kazi ngumu kama Kulala ukiwa na hela nyingi ndani ya nyumba, yaani ukisikia sauti kidogo nje unaamka kukagua hela zako kuona kama zipo 🙌
Na hapo ni shilingi laki 1, sijui wale wanaokuwaga na milioni milioni kama hata Usingizi huwa wanapata(ga) 😜
11:27 PM
Basi mzee wangu 😂😂, usije Sema naiba Uhuru wako.Challenge na wazee? Kua na huruma na sisi mkuu


utani kama utani tulianza kimasihara sikudhani sikudhani yatafikia mahala akiwa hapatikani hapaliki sijalala kanifanya kitu gan mbon imekua imara..... tukikoswa stuli ni sunna kula kweny mkeka,, unijue vizuri nikinuna mie ndo nadeka
usije dhani kiburi uniache nikaja kuchekwa


0100

1:12AM
huyu wa sas hivi akiniacha nimekwisha maselaa, sa nawaza nipige simu moja kijijin kwa bibi amtengenezeee,, ananikorokochoa akili kaijaza maujingaa.. ananichanganyaa huyu mtoto wa mama mkwee
asipo tangaza ndoa natangaza vita na yeye
yani nitamvunja miguu akiuvunja moyo wangu


muziki ni afya 0119