JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

[emoji445][emoji445][emoji444] utani kama utani tulianza kimasihara sikudhani sikudhani yatafikia mahala akiwa hapatikani hapaliki sijalala kanifanya kitu gan mbon imekua imara..... tukikoswa stuli ni sunna kula kweny mkeka,, unijue vizuri nikinuna mie ndo nadeka[emoji23] usije dhani kiburi uniache nikaja kuchekwa[emoji2960][emoji2957][emoji444][emoji444]0100
 
[emoji445][emoji445] huyu wa sas hivi akiniacha nimekwisha maselaa, sa nawaza nipige simu moja kijijin kwa bibi amtengenezeee,, ananikorokochoa akili kaijaza maujingaa.. ananichanganyaa huyu mtoto wa mama mkwee[emoji23] asipo tangaza ndoa natangaza vita na yeye[emoji38] yani nitamvunja miguu akiuvunja moyo wangu[emoji2960][emoji1787][emoji445][emoji445] muziki ni afya 0119
 
most frequently used
IMG_3759.png
 
Back
Top Bottom