Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,919
š¤£umekosea sana mwanaume masikini havumiliki..,akizipata huyo ndiyo umempoteza daima cutehahaha tatizo huy mai wangu hajapat kazi za ofisin bado tunahangaika na vibarua vya juaninikifunga hiy miguu tutalala matumbo wazi
nikifunga hiy miguu tutalala matumbo wazi
kwanin haukuniita nije kweny fumanizi jamn
umekosea sana mwanaume masikini havumiliki..,akizipata huyo ndiyo umempoteza daima cute
mbona mtamfanya awe kichaa mtoto wa watu...michepuko imroge nawe umroge....atakuwa mtu?