JamiiForums Usiku wa manane
Kweli Mkuu

Kama una nafasi Jenga nyumba za Kupangisha za kutosha tu

Ukifika Uzeeni hutahitaji kuwasumbua watoto wako wakutumie hela ya Matumizi.

Utajikuta unapata meseji Kila Mwezi za wapangaji kukutumia Kodi zako tu

Wakati huo utakuwa unacheza golf na Wazee wenzako viwanja vya Gymkhana huku unakula totozi moja ya viwango kutoka hapo IFM

Tafadhali usiizingatie hiyo Aya ya mwisho nimeandika kuchagiza tu

 
Back
Top Bottom