Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Nakuombea uanze kupata wewe ili unigawieUsiwaze atakae wahi kupata anamgawia mwenzake.

Nakuombea uanze kupata wewe ili unigawieUsiwaze atakae wahi kupata anamgawia mwenzake.

Nin tena miss zuleyAisee sitaki kuamini kabisa😡
Itapendeza kwa kweliNakubea uanze kupata wewe ili unigawie![]()
![]()
Geti limefungwaNin tena miss zuley
Haya bana usisahau kuweka Expansion jointUnaona sasa....ndio maana niliwakimbia wewe ukiingia darasani unanivutisha bhange eti ndo nitaelewa.
Nleterewa Nganengo ananinywesha bombadia eti nistue akili. Sitaki tena kusoma wacha nijaribu tu ujinga
Njoo ulale kwanguGeti limefungwa

Sana!Itapendeza kwa kweli
Hivi zile Expansion joint og zimesharekebishwa au bado?Haya bana usisahau kuweka Expansion joint![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja niongeze cha Chuga hapa, hilo geti litajuta kunijuaGeti limefungwa
Wacha wee ndo maana leo huna usingizi kabisaNjoo ulale kwangu![]()
Nimeghairi kulala ngoja nirudi nlipotokaNjoo ulale kwangu![]()
Hmm !! Wewe nawe ujatulia kumbeWacha wee ndo maana leo huna usingizi kabisa
Nasikia wameanza kuzirekebishaHivi zile Expansion joint og zimesharekebishwa au bado?
Wenzio wanachangamkia fursa wewe hangaika na vya Chuga tuNgoja niongeze cha Chuga hapa, hilo geti litajuta kunijua
Ooho..! Usiku huu subir nikusindikizeNimeghairi kulala ngoja nirudi nlipotoka
Hahahaha!!! Aisee unatokea wapi? Chuga au
Kanywa nanihii ndio maanaWacha wee ndo maana leo huna usingizi kabisa
Nasikia wameanza kuzirekebisha
sasa yule dogo aliyeibua badala ya kumpa tuzo ya ugunduzi,walimwekea nini ndani?