Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
HahahahahaYaani Jana nilikuwa nawaza Hela Fulani aisee usingizi ulikata kabisa😁😁😁
HahahahahaYaani Jana nilikuwa nawaza Hela Fulani aisee usingizi ulikata kabisa😁😁😁
Uko sahihi, confidentiality ni muhimuDah nadhani wasimulizi wangu hawakunipa nafasi ya mm kusimulia wengine....mfn brother Hans hajawahi simulia popote hilo jambo wala kuandika ..sasa mm nitaanzaje kusimulia ?
Yeah nina vi stories fulani hivi ila ndio hivyo sasa na ndio maana huwa nachombeza ktk nyuzi za watuUko sahihi, confidentiality ni muhimu
Huyo kwenye Avatar umesema una story yake nisimulie basi!maana kidevu chake kinavutia😁😁😁Hahahahaha
watoto was dar mna vurugu😀😁Huyo kwenye Avatar umesema una story yake nisimulie basi!maana kidevu chake kinavutia😁😁😁
Ni sahihi mkuu.Yeah nina vi stories fulani hivi ila ndio hivyo sasa na ndio maana huwa nachombeza ktk nyuzi za watu
Wazee wa Dar ndio wanatuchanganya na videvu vyao wanaweka mvi,,,Wana matashititi sana wazee wa hivyo😁😁watoto was dar mna vurugu😀😁
Mh Ume kunywa nini, mbona ume chachuka leo😀😁Wazee wa Dar ndio wanatuchanganya na videvu vyao wanaweka mvi,,,Wana matashititi sana wazee wa hivyo😁😁
Hahahahaha....hiyo ngumu RafikiHuyo kwenye Avatar umesema una story yake nisimulie basi!maana kidevu chake kinavutia😁😁😁
Hahahahaha...Rafiki umevurugwa na kidevu chenye mvi ?Wazee wa Dar ndio wanatuchanganya na videvu vyao wanaweka mvi,,,Wana matashititi sana wazee wa hivyo😁😁
Kizuri sana,ha haaaa haaaHahahahaha...Rafiki umevurugwa na kidevu chenye mvi ?
Ha haaaaa haaaaaaaHahahahaha....hiyo ngumu Rafiki
Hahahahaha...we mkorofiKizuri sana,ha haaaa haaa
Hii si mpk uwe hujanywa ndio mtu atacheza
Hii hapana aisee😆😆😀, nika jua una penda game za mpira au action.
Hahaha, Hiyo game mi hapana aiseeHii si mpk uwe hujanywa ndio mtu atacheza
HahahahahaHahaha, Hiyo game mi hapana aisee