Ni nani huyu ?Mkubwa Tresor Mandala una ifahanu Historia ya Eunice maganga?
Jamaa aliye Panga azimio la kumpindua mwalimu nyerere Mwaka 1982.Ni nani huyu ?
Sonona kiss nini??mmemtenga sana huyo mrembo,hadi anapatwa na sonona
Mwee🙄😆, uli kuwa una fanya nini Huku???
Huyu jamaa nilimsoma sana maandiko yake juu ya hilo zoezi la kumpindua Nyerere...Jamaa aliye Panga azimio la kumpindua mwalimu nyerere Mwaka 1982.
👉Ali itwa Eugene maganga, wali feli Jamaa aka firisika mnoo
Kuna mzee ali wahi pigana Vita dhidi ya idd amin kipindi kile.Huyu jamaa nilimsoma sana maandiko yake juu ya hilo zoezi la kumpindua Nyerere...
Kati ya watu niliyowahi kukaa nae na kujipa hiyo story ni marehemu my brother Hans pope .
Wanakuaga na stori...Kuna mzee ali wahi pigana Vita dhidi ya idd amin kipindi kile.
Basi huwa ana jieleza habari nyingi Sana.
Kuhusu kombania ya chui(Kama sija kosea) ilivyo kuwa hatari Sana.
Kuna wengine wali potea wote, kisa kuua watoto wadogo tu.
Basi ulikuwa na bahati, kukutana na master plan mwenyeweWanakuaga na stori...
Wkt niko mdg nilihadithiwa kuhusu Uhaini wa akina maganga..nilipokua secondary nikasoma hadithi yote...siku moja nasafiri kwenda Misri ktk huo msafara alikuwepp Hans pope aisee nilishindwa kujizuia na kumfuata kumuomba walau aniambie kile nilichosikia na kusoma juu yao...alinipa story ndefu na nzuri
Hahahahaha..mkuu mie km bahati ninayo .na sio Hans tu..wengi tu nishakutana na kuongea nao na ni watu muhimu sana .maana hans tulikuwa fright moja Dar to Cairo...baadae tukakutana tena Kigali..story zile zile huwa namchomekea .Basi ulikuwa na bahati, kukutana na master plan mwenyewe
We Mkongo, Hanspope unamuita 'My brother'Huyu jamaa nilimsoma sana maandiko yake juu ya hilo zoezi la kumpindua Nyerere...
Kati ya watu niliyowahi kukaa nae na kujipa hiyo story ni marehemu my brother Hans pope .
Hahahahaha..Mkuu upo ..Kongo kwa wajomba..mie ni Mbongo originally...We Mkongo, Hanspope unamuita 'My brother'
Mimi nilikutana na Captain Kadego Kibo complex. Naye alinipa story nzuri sana ya mapinduzi. Ila waliohusika ikiwemo yeye walikuwa 'vichwa sana'.Wanakuaga na stori...
Wkt niko mdg nilihadithiwa kuhusu Uhaini wa akina maganga..nilipokua secondary nikasoma hadithi yote...siku moja nasafiri kwenda Misri ktk huo msafara alikuwepp Hans pope aisee nilishindwa kujizuia na kumfuata kumuomba walau aniambie kile nilichosikia na kusoma juu yao...alinipa story ndefu na nzuri
Hahahahaha...wale jamaa walikua vichwa haswa...alikuwa akinisimulia nilikua naona km movie hv kumbe kweli.Mimi nilikutana na Captain Kadego Kibo complex. Naye alinipa story nzuri sana ya mapinduzi. Ila waliohusika ikiwemo yeye walikuwa 'vichwa sana'.
Story ilikuwa nzuri sana japo alikatiza. Nafikiri aina ya udadisi akadhani mimi mtu wa kitengo
Hahaha, natumai ipo siku uta Ni simulia mkubwaHahahahaha..mkuu mie km bahati ninayo .na sio Hans tu..wengi tu nishakutana na kuongea nao na ni watu muhimu sana .maana hans tulikuwa fright moja Dar to Cairo...baadae tukakutana tena Kigali..story zile zile huwa namchomekea .
Hahahahaha...mm mvivu wa kusimulia niko na stories nyingi ila siezi simulia...hata ya jamaa kwa avatar yangu niko na story kdg ila siezi simulia popoteHahaha, natumai ipo siku uta Ni simulia mkubwa
Uki Acha uvivu, Kwanini hutaki kusimulia??Hahahahaha...mm mvivu wa kusimulia niko na stories nyingi ila siezi simulia...hata ya jamaa kwa avatar yangu niko na story kdg ila siezi simulia popote
Dah nadhani wasimulizi wangu hawakunipa nafasi ya mm kusimulia wengine....mfn brother Hans hajawahi simulia popote hilo jambo wala kuandika ..sasa mm nitaanzaje kusimulia ?Uki Acha uvivu, Kwanini hutaki kusimulia??
Yaani Jana nilikuwa nawaza Hela Fulani aisee usingizi ulikata kabisa😁😁😁Mwee🙄😆, uli kuwa una fanya nini Huku???