Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,243
- 5,140
Mimi usingizi umekata gaflaKwa sababu miss mariaah ujalala
Mimi usingizi umekata gaflaKwa sababu miss mariaah ujalala
Kwanini au unawaza mahot potMimi usingizi umekata gafla
Karibu sana mkuu01:28
Kwa mara ya kwanza naweka comment kwenye huu uzi, wadau wa hii thread nipokeeni
Tunalinda taifa mkuuKwanini hamlali
Asante mkuu, nipe muongozo / katiba ya humu ndaniKaribu sana mkuu
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Asante mkuu, nipe muongozo / katiba ya humu ndani
Nimebold na kunakili hapo kutoka kwa mwanzilishi wa uziAsante mkuu, nipe muongozo / katiba ya humu ndani
Mpaji MunguMwenye connection kariakoo anipe wakuu...
Ngoja nimuulize anataka connection Gani
Sio kwa speed hii kamanda upo sharp balaa, just imagine comment yangu imepishana na reply yako in just 1 min!!!Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Connection ya nnMwenye connection kariakoo anipe wakuu...
Hapo nimenakili na kuwakilisha kutoka kwa mwanzilishi wa uzi mkuuSio kwa speed hii kamanda upo sharp balaa, just imagine comment yangu imepishana na reply yako in just 1 min!!!
Hapo kwenye ibada bado umeniacha mataa, ni aina gani ya ibada hiyo mkali? Meditation, prayer, kula au yale mambo