JamiiForums Usiku wa manane
Sio kwa speed hii kamanda upo sharp balaa, just imagine comment yangu imepishana na reply yako in just 1 min!!!

Hapo kwenye ibada bado umeniacha mataa, ni aina gani ya ibada hiyo mkali? Meditation, prayer, kula au yale mambo
Binafsi ninazunguka kwenye nyuzi mbali mbali kupitia yaliyojiri jana.
 
Back
Top Bottom