JamiiForums Usiku wa manane
Wengine tungefia kitandani leo. Nimeamka nakuta nje kumeloa, naambiwa imenyesha mvua sio ya kawaida, upepo na radi za nguvu. Yote hayo sikusikia, nachokumbuka wakati narudi kulikuwa na vimanyunyu tu!
Wewe ndo umefaidi baridi la leo.
Radi za leo zilikua zile za taa wanazosema ni mbaya
Upepo mkali hadi mapazia wanapeperuka
 
Back
Top Bottom