Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
Good movement, nijiandae kula SOLO sasa,Zaidi!
Alhamdulillah!
Good movement, nijiandae kula SOLO sasa,Zaidi!
Alhamdulillah!
Ndio nini?Good movement, nijiandae kula SOLO sasa,
Hahahahaha,solo huijui ? Inabidi nikupe homework ukaiulizia hasa kwa waislamuNdio nini?
Hapo anakuwepo mtu maalum ( mchukua jiko ) na watu wake tu maalum ndio wanaruhusiwq kula hii kitu inaitwa solo,usiniambie huijui bana au hujawahi kukutana nayo huko mtaaniNdio nini?
Wewe sasa umekosea, ungesema karamu.Hapo anakuwepo mtu maalum ( mchukua jiko ) na watu wake tu maalum ndio wanaruhusiwq kula hii kitu inaitwa solo,usiniambie huijui bana au hujawahi kukutana nayo huko mtaani
Hahahaha mbn mie najua kwa jina la solo ? Kumbe ni karamu ok umeniongezea neno, najiandaa ya kwako 🤣🤣Wewe sasa umekosea, ungesema karamu.
Naachaje kuijua? Nimewahi kwenda kwenye harusi kadhaa za Kiswahili nimeona sana.
Mimi hizo nimezijulia kwa Waswahili wenyewe Magomeni na Kariakoo.Hahahaha mbn mie najua kwa jina la solo ? Kumbe ni karamu ok umeniongezea neno, najiandaa ya kwako 🤣🤣
Ewaaa huko ndio kwenyee sasa unakuta na madiko diko nq midada ina heena na rangi ya mtume ,aaagh hatariMimi hizo nimezijulia kwa Waswahili wenyewe Magomeni na Kariakoo.
InshaAllah Kheir!
Pole mwaya02:22
Tanesco washafanya yao tokea saa 2 usiku
Usingizi hauji bila feni.
Asante sanaPole mwaya
Wapi huko?Huku Kuna bonge la mvuaa muda huu