JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hapo anakuwepo mtu maalum ( mchukua jiko ) na watu wake tu maalum ndio wanaruhusiwq kula hii kitu inaitwa solo,usiniambie huijui bana au hujawahi kukutana nayo huko mtaani
Wewe sasa umekosea, ungesema karamu.
Naachaje kuijua? Nimewahi kwenda kwenye harusi kadhaa za Kiswahili nimeona sana.
 
Wewe sasa umekosea, ungesema karamu.
Naachaje kuijua? Nimewahi kwenda kwenye harusi kadhaa za Kiswahili nimeona sana.
Hahahaha mbn mie najua kwa jina la solo ? Kumbe ni karamu ok umeniongezea neno, najiandaa ya kwako 🤣🤣
 
Back
Top Bottom