JamiiForums Usiku wa manane
Nifah umeona solo hilo full kutoa shavu , sasa hili huliwa na watu maalum ktk tukio maalum
 

Attachments

  • s2.jpg
    s2.jpg
    100.4 KB · Views: 8
Ndio nini?
Hapo anakuwepo mtu maalum ( mchukua jiko ) na watu wake tu maalum ndio wanaruhusiwq kula hii kitu inaitwa solo,usiniambie huijui bana au hujawahi kukutana nayo huko mtaani
 

Attachments

  • s2.jpg
    s2.jpg
    100.4 KB · Views: 8
Hapo anakuwepo mtu maalum ( mchukua jiko ) na watu wake tu maalum ndio wanaruhusiwq kula hii kitu inaitwa solo,usiniambie huijui bana au hujawahi kukutana nayo huko mtaani
Wewe sasa umekosea, ungesema karamu.
Naachaje kuijua? Nimewahi kwenda kwenye harusi kadhaa za Kiswahili nimeona sana.
 
Wewe sasa umekosea, ungesema karamu.
Naachaje kuijua? Nimewahi kwenda kwenye harusi kadhaa za Kiswahili nimeona sana.
Hahahaha mbn mie najua kwa jina la solo ? Kumbe ni karamu ok umeniongezea neno, najiandaa ya kwako 🤣🤣
 
Back
Top Bottom