Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,370
Mi mwenyewe masta, huniwezi.Hahahahahaha,mie mdadisi ujue
Mi mwenyewe masta, huniwezi.Hahahahahaha,mie mdadisi ujue
Anastahili kwakweli!Wakubwa wanafaidi sana
Hahahaha, haya Rafiki utanitag hiyo story ,ili niwe makini ktk kusoma comments za walimwengu humuAnastahili kwakweli!
Ngoja siku nikileta story yangu mi na yeye uone kama ungeweza.
Haikuwa rahisi, ila alishinda ndio maana sasa hivi nimempa taji na kiti cha peke yake!
Hahahaha,we mie ni mkufunzi wa master, ndio huwa nakusoma vzr ,vzr sana , maandishi ya sasa na maandishi yaliyopitaMi mwenyewe masta, huniwezi.
Mi najali basi? Ila ni story tamu atakayeponda mchawi.Hahahaha, haya Rafiki utanitag hiyo story ,ili niwe makini ktk kusoma comments za walimwengu humu
Mimi pia, niko chini ya masta nimekuwa masta vilevile.Hahahaha,we mie ni mkufunzi wa master, ndio huwa nakusoma vzr ,vzr sana , maandishi ya sasa na maandishi yaliyopita
Safi nasubiria story tamu ya wamependwq nao, nakumbuka kuna aliyewahi kukufungulia uzi wa kukusifu humu , au kumbukumbu zangu sio?Mi najali basi? Ila ni story tamu atakayeponda mchawi.
Usijali.
Hahahaha,hapana Rafiki, nimeacha sorryAcha ufalaaaaa, kwahiyo ndio unataka kunionesha wewe ni masta sio?
Hayo mambo madogo sana, isingekuwaga yale mambo mambo ndio ungenishtua ila baada ya pale wala sishangai mtu kujua.
Safi sana hili nimeliona now umekua masterMimi pia, niko chini ya masta nimekuwa masta vilevile.
Huoni mabadiliko makubwa hata katika maandishi yangu sasa na zamani? Niko jikoni napikwa vyema, na nimeanza kuiva.
Labda, sikumbuki.Safi nasubiria story tamu ya wamependwq nao, nakumbuka kuna aliyewahi kukufungulia uzi wa kukusifu humu , au kumbukumbu zangu sio?
Achana na yaliyopita, tugange yajayo, hope uko sehemu sahihii na salamaLabda, sikumbuki.
Ila sio yeye…
Zaidi!Achana na yaliyopita, tugange yajayo, hope uko sehemu sahihii na salama
👍🙏Zaidi!
Alhamdulillah!
Good movement, nijiandae kula SOLO sasa,Zaidi!
Alhamdulillah!
Ndio nini?Good movement, nijiandae kula SOLO sasa,
Hahahahaha,solo huijui ? Inabidi nikupe homework ukaiulizia hasa kwa waislamuNdio nini?
Hapo anakuwepo mtu maalum ( mchukua jiko ) na watu wake tu maalum ndio wanaruhusiwq kula hii kitu inaitwa solo,usiniambie huijui bana au hujawahi kukutana nayo huko mtaaniNdio nini?