Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Eeeh ndio, si unaona Charles kilian hakuniuliza?Mie tena ,jamani rafiki, nimekua mchokozi?
Eeeh ndio, si unaona Charles kilian hakuniuliza?Mie tena ,jamani rafiki, nimekua mchokozi?
Ndio hivyo tena, mwenzenu mmeshampoteza.Hahahaha,hapana Rafiki
Dah, namuonea dongeNdio hivyo tena, mwenzenu mmeshampoteza.
Amekaa kwenye system yangu 🤣✌🏽
Hahahahahaha,mie mdadisi ujueEeeh ndio, si unaona Charles kilian hakuniuliza?
Wakubwa wanafaidi sanaNdio hivyo tena, mwenzenu mmeshampoteza.
Amekaa kwenye system yangu 🤣✌🏽
Mi mwenyewe masta, huniwezi.Hahahahahaha,mie mdadisi ujue
Anastahili kwakweli!Wakubwa wanafaidi sana
Hahahaha, haya Rafiki utanitag hiyo story ,ili niwe makini ktk kusoma comments za walimwengu humuAnastahili kwakweli!
Ngoja siku nikileta story yangu mi na yeye uone kama ungeweza.
Haikuwa rahisi, ila alishinda ndio maana sasa hivi nimempa taji na kiti cha peke yake!
Hahahaha,we mie ni mkufunzi wa master, ndio huwa nakusoma vzr ,vzr sana , maandishi ya sasa na maandishi yaliyopitaMi mwenyewe masta, huniwezi.
Mi najali basi? Ila ni story tamu atakayeponda mchawi.Hahahaha, haya Rafiki utanitag hiyo story ,ili niwe makini ktk kusoma comments za walimwengu humu
Mimi pia, niko chini ya masta nimekuwa masta vilevile.Hahahaha,we mie ni mkufunzi wa master, ndio huwa nakusoma vzr ,vzr sana , maandishi ya sasa na maandishi yaliyopita
Safi nasubiria story tamu ya wamependwq nao, nakumbuka kuna aliyewahi kukufungulia uzi wa kukusifu humu , au kumbukumbu zangu sio?Mi najali basi? Ila ni story tamu atakayeponda mchawi.
Usijali.
Hahahaha,hapana Rafiki, nimeacha sorryAcha ufalaaaaa, kwahiyo ndio unataka kunionesha wewe ni masta sio?
Hayo mambo madogo sana, isingekuwaga yale mambo mambo ndio ungenishtua ila baada ya pale wala sishangai mtu kujua.
Safi sana hili nimeliona now umekua masterMimi pia, niko chini ya masta nimekuwa masta vilevile.
Huoni mabadiliko makubwa hata katika maandishi yangu sasa na zamani? Niko jikoni napikwa vyema, na nimeanza kuiva.
Labda, sikumbuki.Safi nasubiria story tamu ya wamependwq nao, nakumbuka kuna aliyewahi kukufungulia uzi wa kukusifu humu , au kumbukumbu zangu sio?
Achana na yaliyopita, tugange yajayo, hope uko sehemu sahihii na salamaLabda, sikumbuki.
Ila sio yeye…
Zaidi!Achana na yaliyopita, tugange yajayo, hope uko sehemu sahihii na salama
👍🙏Zaidi!
Alhamdulillah!