JamiiForums Usiku wa manane
02:04 AM, done reading this book.

PXL_20231208_160041409.jpg
 
Nimemkumbuka sana my one and only.
My lovely ex.
Alipenda sana kuja kwenye huu uzi, na mimi sijapita hapa long long time.
More than 3years now.

Mambo vipi wadau?
Heeeee! Mahaba yote hayo kuna ex kweli hapo?
Watu mnatoa wapi mahaba kwa ex jamani? Hata kama hamkuachana kwa ubaya, loh!
 
Ndio naamaka ,hapa ni kuzimua kdg,kisha kutafuta mbuzi katoliki na ugali mkubwa,kisha tuendelee,...December na X Mass Eve
 
Back
Top Bottom