JamiiForums Usiku wa manane
Siishi nae, nisipompata kwenye simu naugua.

Haya mambo yasikie tu, unaweza kumcheka mtu hadi upitie na wewe ndio utajua…
Aisee basi mie najuaga mko wote daily ,jinsi unavyo mu address humu

Hahahaha,naye mtu wa outing za nite nini ?

Hiyo post nikakumbuka verse ya lady JD, "kula bibi huyo haji yuko na washikajiii"
 
Aisee basi mie najuaga mko wote daily ,jinsi unavyo mu address humu

Hahahaha,naye mtu wa outing za nite nini ?

Hiyo post nikakumbuka verse ya lady JD, "kula bibi huyo haji yuko na washikajiii"
Nampenda sana ndio maana, subiri utajua tu si nilisema nitakuja na uzi wake? 😜

Yes, alikuwa mtu wa hivyo ila nimemkataza, sipendi na hatoki tena.

Umenichekesha, usiusemee moyo… eti? Lols
 
Usiogope, mapenzi matam sana ukimpata mtu sahihi kama mimi.

Basi tu yuko busy mi sijazoea ndio nateseka, ila tuko vizuri.
Ni kweli we mtu sahihi, sasa inabidi uwe na mtu sahihi zaidi asikusumbua km hivyo

NB: nipate mtu km wewe ,nanchang kazi ya ulinzi na kudhurura usiku , mrembo km wewe unaachwaje pekee yako?
 
Nampenda sana ndio maana, subiri utajua tu si nilisema nitakuja na uzi wake? 😜

Yes, alikuwa mtu wa hivyo ila nimemkataza, sipendi na hatoki tena.

Umenichekesha, usiusemee moyo… eti? Lols
Sasa wewe unausemea Moyo , ila vzr kuamini unachoamini
 
Ni kweli we mtu sahihi, sasa inabidi uwe na mtu sahihi zaidi asikusumbua km hivyo

NB: nipate mtu km wewe ,nanchang kazi ya ulinzi na kudhurura usiku , mrembo km wewe unaachwaje pekee yako?
Hanisumbui jamani, yuko busy na majukumu ya kikazi na najua anachokifanya hatua kwa hatua.

Mimi tu ndio nashindwa kukubaliana na hali kwa kuwa nimemzoea sana.
 
Back
Top Bottom