Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,120
- 111,793
Tiritiri tiri tiririiiii 😂We misso misondo
Umepigaje hapoo? We zombie,, haujui
Wazee wa suti kuu kuu na chafu
Tiritiri tiri tiririiiii 😂We misso misondo
Umepigaje hapoo? We zombie,, haujui
Mrembo wetu... Nisemeshe kiswahili aisee bado nna wengeHow you doing cha ukorofi? Certified Hater
huu wimbo nautafuta sana, itakua ni watu wa huko huko00:15
Oya Dj misso misondo waleeete usiku wa manane
My man don't make many sounds like frog just ask her for a date then everything will follow 'cause she won't say no I assure you, Nifah am I wrong on that or should I polish it one more time? 😂I adore her, and if she decides to go through with it, I am ready at any time. I'm in a crush on Nifah
Ova
😂😂 na kulala kote kule bado mning’inio haijaisha?Mrembo wetu... Nisemeshe kiswahili aisee bado nna wenge
Simba la masimba dangoteTiritiri tiri tiririiiii 😂
Wazee wa suti kuu kuu na chafu
Si ndiyo miitikio yetu hiyo watoto wa kike 😁Umeitika vizuri sana aisee
Kutoka kwa?? 😂😂Kuna siku nilipewa ujumbe wako nikatingwa haukufika.
Lol! Where has the lucky one taken your heart?He is stealing my heart 🥲🥹
Hah nalipa deni la usingizi .. Si unajua hakuna atakaye kulipia.. niko safi safi. Inakuaje mpk time hii upo huku? Achana na vijana wanaopiga kibongo fleva..😂😂 na kulala kote kule bado mning’inio haijaisha?
Nauliza tu waendeleaje mkuu..
Umesahau too much money ila dj misso misondo kali yaoSimba la masimba dangote
Zingatia zingatia maokoto
😂😂😂😂😂😂 bwanaa, wanatupa kicheko sana
Ngoja ajeSanaaa Demi watu wake hao 😂
Kaimba Geres inaitwa medzo
😂 sasa mbona hawaimbi?