JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

😂😂 na kulala kote kule bado mning’inio haijaisha?

Nauliza tu waendeleaje mkuu..
Hah nalipa deni la usingizi .. Si unajua hakuna atakaye kulipia.. niko safi safi. Inakuaje mpk time hii upo huku? Achana na vijana wanaopiga kibongo fleva..
 
Hah nalipa deni la usingizi .. Si unajua hakuna atakaye kulipia.. niko safi safi. Inakuaje mpk time hii upo huku? Achana na vijana wanaopiga kibongo fleva..
Nikiamka hapa nilipo,, nikikifikia kitanda.. sichukui 5 minutes nakuwa nishazima.

Sahivi nasikiliza naija ‘African Queen…
bongo fleva nmemaliza 😂😂
 
Back
Top Bottom