JamiiForums Usiku wa manane
Hah nalipa deni la usingizi .. Si unajua hakuna atakaye kulipia.. niko safi safi. Inakuaje mpk time hii upo huku? Achana na vijana wanaopiga kibongo fleva..
Nikiamka hapa nilipo,, nikikifikia kitanda.. sichukui 5 minutes nakuwa nishazima.

Sahivi nasikiliza naija ‘African Queen…
bongo fleva nmemaliza 😂😂
 
Back
Top Bottom