Jamani dia ahsante, kalale sasa mi nshapumzikaNiko sehemu ,Kuna mdada kaimba wimbo wa Whitney houston ,dah , we mdada km uko hm ,mie bado nipo uliponiacha
Poa😂😂kidonda unaendeleaje nacho?We mwanamke Mambo vipi
Hahahaha, nina zawadi yakeFundii sana huyo
hii ni pisi kali haihalishi ameenda age namna gani bado nyama yake ukichemsha sana inakuwa ni tamuMwambie huyo tapeli akupe
Hahahaha,ahsante, km ni wewe umetishaJamani dia ahsante, kalale sasa mi nshapumzika
KabisaaaHiyo kanzu ndio ile walikuja nayo wana thimba?
Nimepona ila sindano zake ni kalii sana nilikuwa nikichoma naona kama nakufa vilee🤣🤣Poa😂😂kidonda unaendeleaje nacho?
Ahsante kwa compliment ni mimi diaHahahaha,ahsante, km ni wewe umetisha
😂pole sana...hope umepata tena usingiziDuh usingizi umekata Tena saa 2:21
Poa mkuu usisahau kupiga pasi mana kunguni ni wengiNshaanika nasubiri zikauke
Kunguni mixa chawa watatuuaPoa mkuu usisahau kupiga pasi mana kunguni ni wengi
Pole sanaa aisee,naamini wife alikupumzisha mgonjwa na hekaheka🙊Nimepona ila sindano zake ni kalii sana nilikuwa nikichoma naona kama nakufa vilee🤣🤣
Mkuu ni mzee wa kawe huyo na sio demu huyo we jichanganye tuhii ni pisi kali haihalishi ameenda age namna gani bado nyama yake ukichemsha sana inakuwa ni tamu
Najua umenikataa ila nakuomba skiza huu wimbo wa😂pole sana...hope umepata tena usingizi
🤣🤣🤣Nilikuwa nalia 😭🤣Pole sanaa aisee,naamini wife alikupumzisha mgonjwa na hekaheka🙊
😳ulikuwa unalia maumivu au kukimbia game?🙉🤣🤣🤣Nilikuwa nalia 😭🤣
Sindano za yutiai hizo? Au za wadudu mnyevuko 🤣🤣🤣Nimepona ila sindano zake ni kalii sana nilikuwa nikichoma naona kama nakufa vilee🤣🤣