kepha_006
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 413
- 763
Usiku mwema bhana...mi nimejichokea hapa![]()

Usiku mwema bhana...mi nimejichokea hapa![]()

mwijaku ndo kapeleka
Usiombe wawe kitandani utakesha bila kupenda.
mwijaku ndo kapeleka

tuwe tunaacha nguo zetu hukuhuku bongoHao jamaa kipindi nipo shule, ilikuwa nalala halafu naamka nashuka kitandan napumzika kwanzaUsiombe wawe kitandani utakesha bila kupenda.
Si u-charge mzee, au tanesco washafanya yaoSimu yangu imebaki na 3% inabidi nilale tu hakuna namna.
Sasa ni 1% nimekujibu kwenye screenshot chini hapo.Si u-charge mzee, au tanesco washafanya yao
Weka simu chaji mkuuSasa ni 1% nimekujibu kwenye screenshot chini hapo.View attachment 2787717
Nimerudi nachatt huku ipo charging kwenye switch ,nilitaka nilale ila Wasap nimepata wa kuchatt nae .Weka simu chaji mkuu
One day Yes ,siku ya pili leo hayupo lindoni unamkosa..

mzee unafatilia code au sio