Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Muhimu misa ya kwanza tuko mwaka A wa kanisa kwa wale RC wenzangumsisahau kwenda kutoa sadaka asubuhi kanisani
Muhimu misa ya kwanza tuko mwaka A wa kanisa kwa wale RC wenzangumsisahau kwenda kutoa sadaka asubuhi kanisani
Mimi sjakutia moyo mimi nimekwambia ukweli...anayekupa moyo anakupunguzia maumivu.Bora wewe umenitia moyo sio wale watu wa chugga wananiponda 🤣🤣🤣🤣
Nenda misa ya pili imekaa poa.Muhimu misa ya kwanza tuko mwaka A wa kanisa kwa wale RC wenzangu
Misa ya kwanza haina mzookaMisa ya kwanza kabisa mkuu
mkuu mwaka wa kabisa umeeka kichwan uko njemaMuhimu misa ya kwanza tuko mwaka A wa kanisa kwa wale RC wenzangu
Naunga mkono, kwenye segment hawavungi,kazi kazi!!Mademu wa chuga ni wagumu ila wanautamu wao
3:3902:35
Actually she was real.🤣🤣🤣🤣 Mwehu weee!!
Kunywa maji03:50
Waubani03:54