Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 3,212
- 6,290
maza alizoeya za yondo sisterNilikuwa naipenda hiyo nyimbo ya Joseline, maza alikuwa ananitoa mkuku nyimbo gani hizo za ajabu mtoto mdogo unaimba?!🤣🤣🤣
maza alizoeya za yondo sisterNilikuwa naipenda hiyo nyimbo ya Joseline, maza alikuwa ananitoa mkuku nyimbo gani hizo za ajabu mtoto mdogo unaimba?!🤣🤣🤣
dah Shem Kama shem shemeji la Dunia bwana mshamba bado ametuacha mbaliNi shemeji yangu bhana huyo mshamba![]()
Kunywa maji mkuu02:41
Kwanini saut yako niifananishe na mtumba wakati ni special?😜😜😜 sema kweli??
Mshangazi me oooh!! 🤣🤣🤣Aah kumbe bado binti mbichi tu?
hakika mkuu inabdiKunywa maji mkuu
🤣🤣🤣🤣maza alizoeya za yondo sister
Kwann? 🤣🤣🤣dah Shem Kama shem shemeji la Dunia bwana mshamba bado ametuacha mbali
Maji ya uzima mkuuhakika mkuu inabdi
🤣🤣🤣🤣 Umenifanya nicheke, wakati mshamba na bro ake wananisimanga na sauti yangu!!!Kwanini saut yako niifananishe na mtumba wakati ni special?
Salute kwake mtawala wa himayaKwann? 🤣🤣🤣
Huyo tunataniana ni mtu na shemejie sie
Mchizi anakuektia tu ila una sauti ya 3 inakaa poa🤣🤣🤣🤣 Umenifanya nicheke, wakati mshamba na bro ake wananisimanga na sauti yangu!!!
Huna ushangazi wowote, unafaa kutafuna na mifupaMshangazi me oooh!!![]()




mkuu labda kwa mbali na captain MorganMaji ya uzima mkuu
mm wacha niamn mkuu wewe n shemej yake mshambaKwann?
Huyo tunataniana ni mtu na shemejie sie
Bora wewe umenitia moyo sio wale watu wa chugga wananiponda 🤣🤣🤣🤣Mchizi anakuektia tu ila una sauti ya 3 inakaa poa
Khaaaaa!!! 😂😂😂😂Huna ushangazi wowote, unafaa kutafuna na mifupa![]()
Misa ya kwanza kabisa mkuumsisahau kwenda kutoa sadaka asubuhi kanisani
Kweli sie mashemeji 😂😂😂mm wacha niamn mkuu wewe n shemej yake mshamba