Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,321
Usilale sahivi subiri saa kumi, hii mida wanga wanapita vitandani02:39am
bed time.
Usilale sahivi subiri saa kumi, hii mida wanga wanapita vitandani02:39am
bed time.
Kumbe nawe ni dronedrake mwamnyeto02:43 AM
nyeto imenichukulia usingizi wangu
things are tough, vibinti havikamatikiKumbe nawe ni dronedrake mwamnyeto
Mmh kwa age yako tulia tu kwanza na hiyo nyeto, vibinti vitakuvuruga akili hasira zako utukane hadi sisi mishangazithings are tough, vibinti havikamatiki
nitulie mpaka lini, upweke utaniuaMmh kwa age yako tulia tu kwanza na hiyo nyeto, vibinti vitakuvuruga akili hasira zako utukane hadi sisi mishangazi
Upweke au upwilu/ru? 🤣nitulie mpaka lini, upweke utaniua
upwiru ukikaa muda mrefu unaitwa upweke🤣Upweke au upwilu/ru? 🤣
Jua kali kinoma ngoja nifue blanket kabisa sitaki mambo mengi03:13 kazi iendelee.
Duuuh! bilashaka wewe utakua rafiki wa Mshana jr.jua kali saa hizi...😁😁?Jua kali kinoma ngoja nifue blanket kabisa sitaki mambo mengi
Karibu pia ulabu mjomba😅Karibuni bia jamani....ukiona bado unachagua siku za kunywa endelea kutafuta hela 😁
02:12
Tuendelee tuendelee mjomba, nipo vizuriKaribu pia ulabu mjomba😅
Uko vizuri kweli mjomba?Tuendelee tuendelee mjomba, nipo vizuri
Cha pili ?Tuendelee tuendelee mjomba, nipo vizuri