Ulikuwa unamchelewesha mwenzako anafanya kweli.imagine mpaka saivi sijalala namuwaza demu wangu wa utotoni ambaye anataka kuolewa na jamaa mwengine
Wanaenda kujirushaHawa wadada wanaopiga misele usiku na bodaboda wanaelekea wapi?
Ulienda kula bata mkuuNdio narudi home
04:09
Mkuu vipi, naona unahesabu muda tu.05:07
Hahaha msubirie aolewe kisha umle kimasiaraimagine mpaka saivi sijalala namuwaza demu wangu wa utotoni ambaye anataka kuolewa na jamaa mwengine
Hivi wanawake mlio olewa mnaringia kitu gani?
Usiku wa manane mkiombwa utelezi mnaleta sababu zisizo na miguu. Tukiwa na michepuko mnakasirika. Hivi mnataka nini? Upwiru utumalize? Mnategemea tukamalizie nyege wapi?
Nyumba ndogo asanteni kwa huduma yenu yakuridhisha.




