Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,250
- 90,442
Namnyatia mpangaji ,nile cha asubuhi
Bado jua kaliHatimae lindo limeisha tuondoke zetu tukalale 04:41
Usikariri, mwizi anaiba na kuvamia muda wowote, maliza muda wa lindoHatimae lindo limeisha tuondoke zetu tukalale 04:41
HahahahahaNamnyatia mpangaji ,nile cha asubuhi
Mkubwa uli sinzia🤣😂Usikariri, mwizi anaiba na kuvamia muda wowote, maliza muda wa lindo
Hahahaha,umenishtukia kausha, nimekuja na mikwara kdg ,mkuu wa lindo 😂😂Mkubwa uli sinzia🤣😂
Hahahah, walinzi siku Hizi Hakuna🤣😂Hahahaha,umenishtukia kausha, nimekuja na mikwara kdg ,mkuu wa lindo 😂😂
Hahahahaha,tunakula mishahara ya bure tuHahahah, walinzi siku Hizi Hakuna🤣😂
nakuonaWenyewe hodi
nakuona
nzuri tu,
nani alikuficha![]()


wapi weweUmeanz utani wa ngumi, anyway nilijificha mwenyew nikakoswa wa kunitaftuta aniulizie hali sa imebidi nijitokeze![]()
wapi wewe
hakuna mtu anaenitakaKwel hivi, nakuona bado upo huku unahangaika tu haujapat mwenzio akugawie usingiz wake