JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Madhara ya kulala saa 2… usingizi ushaisha
Simu zinatusaidia sana imagine usingizi umeisha Huna la kufanya usiku kama uko Single ndo kabisa unahisi wachawi wanakuchora kitandani huchelewi kuwasha taa on.maana hata panya tu akipita gizani unasisimka...ila ndo inashauriwa pia kutumia simu gizani unaua macho....



Me silali tena ngoma mpaka asubuhi nani alale apate jinamizi(sleep paralysis)


Nategea saa 12 naanza mazoezi kwenda beach wavuvi washavua nichukue zangu samaki wa supu saa mbili niko job kwenye WiFi and life goes on.
 
Back
Top Bottom