Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,924
- 36,852
Time for meditation.02:00
Time for meditation.02:00
Yep.. hii ndio mida ya kufanya meditation, kufanya sala zako, kuongea na muumba wako etcTime for meditation.
Leo ilikuwa zamu yetu, tumeshinda kutwa nzima bila umeme tangu saa moja asubuhi mpaka saa mbili usiku02:08. Huu umeme huu
wanasema mlinzi bila sala ni kazi bure😂Sasa tuache lindo ,tufanye sala ? Na mwizi je ?
Sasa muda huu ndio wa ugeni usio tarajiwawanasema mlinzi bila sala ni kazi bure😂
sali ila usifunge macho😂Sasa muda huu ndio wa ugeni usio tarajiwa
Hahahaha,sawasali ila usifunge macho😂
Huna valiumdah, usingizi hauji nifanyeje sasa😂
View attachment 2755363
hahaa, nimechekaHuna valium
😂😂😂😂Acha tuuuhivi ulipotelea wapi wewe, ulikula ban sio
pole sanaDuuuh ilikua hatari 🙌🙌🙌🙌
Daaah basi tuu...pole sana
Ulikua wapi..?😂😂😂😂Acha tuuu
Duniani😀😀😀Ulikua wapi..?
Your welcome alotDuniani😀😀😀
Uko chuga?Nawewe tafuta wako