YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
mimi ni mjep chief
za kwangu nilikua nikitupia selfika tu na si kwingineko
huyo atakua mwingine naye anasambaza upendo kwa namna yake
Ok nilitaka nishangae na hii tabia kaianza baada ya uzi wa selfika kufungwa. 🤣 Sijui kwann.
Zamani alikuwa anaponda serikali sana saivi ratiba kila saa 18:00 anagawa vocha