JamiiForums Usiku wa manane
Vinywaji vyenu vinaletwa nyumban kwa half american kuna mtu nimemuagiza analeta, ingependeza leo mpajue kwake, half american suala la umeme luku kukata kwako ulisema ilibakia unit 1 toka mwez juz unaibana bana, mtakunywa ivo ivo tu gizan hakuna namna
 
0002 naingia lindoni rasmi baada ya siku ndefu yenye hekaheka za kutosha.
Image-123948996.jpg
 
Kiwanja kipyaaaaaaa tujisnapeeeeeee kesho najisnapeee kwenye jukwaa la siasa hakuna namna 😄
 
Back
Top Bottom