National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Hawa ndio wameamua kunichania mkeka.. kuna manzi humu nilisema nianzw fukuzia.. sasa washatibua tenaaa 😅😅😅🤣🤣🤣 kwa kweli kwenye mitongozo namvulia kofia neshino.. haitaji tume kupika njugu kwa mwenge na zikaiva...
ndio umevaa shati jeusi ?Nainua mkono mamaaa, kitambaa cheupeeeee
Hahahaha,nimevaa jezi tundio umevaa shati jeusi ?
Kuna mzigo unaniweka hapa,dah04:13
Wewe una matatizo makubwa sana. Mbona kila kitu ni wewe tu?🥴🥴🥴.. kuogopa nini .. siki dogo na jamaa walita kuoana, dogo akaniomba ushauri nikamuambia kama mmependana oaneni.. dogo badae akaniambia jamaa ana watoto watatu na mtoto wa mwisho ana miezi miwili .. akaona jamaa kama ana tatizo la akili.. akaniomba ushauri tena nikamuambia apime.. badae wakatibuana nini.. kuna ijinga mwingi ambao wana nihusisha na sikuwapo
ndio naamkaKuna mzigo unaniweka hapa,dah
acha shobo, njoo na ID yako ya zamani.. Unafikiri imepita kila kitu kitapatiwa majibuWewe una matatizo makubwa sana. Mbona kila kitu ni wewe tu?
Kaa utulie. Shida ni nini?