JamiiForums Usiku wa manane
05:48 🙌🙏
IMG_0956.png
 
🥴🥴🥴.. kuogopa nini .. siki dogo na jamaa walita kuoana, dogo akaniomba ushauri nikamuambia kama mmependana oaneni.. dogo badae akaniambia jamaa ana watoto watatu na mtoto wa mwisho ana miezi miwili .. akaona jamaa kama ana tatizo la akili.. akaniomba ushauri tena nikamuambia apime.. badae wakatibuana nini.. kuna ijinga mwingi ambao wana nihusisha na sikuwapo
Wewe una matatizo makubwa sana. Mbona kila kitu ni wewe tu?

Kaa utulie. Shida ni nini?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom