Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,414
- 96,750
Oyaaa SI wengine tuko masingle, hao madem mna pata wapi🤒
Hii nitaipeleka jukwaa la jamii check tuone kama ni kweli.Naona toka upate Dem, une tusahau ndugu zako🤒
Sasa kama si kweli fanya kweli.Hiyo muhusika atakuja pambana na kichaa wake.. nimekuja kushangaa mala ya kwanza nasikia mwanamke anaelezea idadi alizoliwa etc.... Ningekuwa hata kweli nimetupia.. sasa uvumi unafanana na kwelu 😅😅😅😅.. Noma sana
Jamii check ndo nini huko daslam 😁🤒Hii nitaipeleka jukwaa la jamii check tuone kama ni kweli.
🤣
jamii check ni katiba ya warioba ambayo inafanyiwa kazi mwaka 2025 ipitishwe.🙂Jamii check ndo nini huko daslam 😁🤒
😅😅 hapafai tena humuu.. unawekewa hata sumuSasa kama si kweli fanya kweli.
Ndo ile Ina wekewa na ice ,🤒jamii check ni katiba ya warioba ambayo inafanyiwa kazi mwaka 2025 ipitishwe.🙂
Mzee neshino wewe sio poa..😅😅 hapafai tena humuu.. unawekewa hata sumu
😅😅😅 vipi tena mtaalamu nimefanyajeMzee neshino wewe sio poa..
Hio inayowekewa na ice ni tume ya kuchunguza kama kweli neshino alimla Tinsilii.. 🙂Ndo ile Ina wekewa na ice ,🤒
😅😅😅 hiyo tume naomba niwe mwenyekitiHio inayowekewa na ice ni tume ya kuchunguza kama kweli neshino alimla Tinsilii.. 🙂
Kaka unapeleka rungu komredi kipepe anaenda tuishieni.😅😅😅 vipi tena mtaalamu nimefanyaje
Ndo ile ili wahi taka kupika njugu kwa mwenge🤒Hio inayowekewa na ice ni tume ya kuchunguza kama kweli neshino alimla Tinsilii.. 🙂
😅😅😅... bana wee mie humu naonekana kiwembe.. wakati joka la kibisa.. nishapewa kesi na mtu tulimpiga mtu mande .. mengi mtasikia tuKaka unapeleka rungu komredi kipepe anaenda tuishieni.
🤣🤣🤣 kwa kweli kwenye mitongozo namvulia kofia neshino.. haitaji tume kupika njugu kwa mwenge na zikaiva...Ndo ile ili wahi taka kupika njugu kwa mwenge🤒
🤣🤣🤣 kwa kweli kwenye mitongozo namvulia kofia neshino.. haitaji tume kupika njugu kwa mwenge na zikaiva...