JamiiForums Usiku wa manane
Ningekuwa mimi ningefungua na nyuzi kabisa, ila mzee hongera sana kama ni rungu linatembea... 🤣 🤣
Hiyo muhusika atakuja pambana na kichaa wake.. nimekuja kushangaa mala ya kwanza nasikia mwanamke anaelezea idadi alizoliwa etc.... Ningekuwa hata kweli nimetupia.. sasa uvumi unafanana na kwelu 😅😅😅😅.. Noma sana
 
Back
Top Bottom