Eti una mjua Dahan 😁
0333
Sema inategemea na mnyonyaji anaamua aamke saa ngapi, siku akichoka analala muda mrefu usiku. Kama juzi kaamka saa 7 usiku kaja kulala saa 10. Umama kazi sana nitalinda humu ndani hadi nikomeUmechelewa kunyonyesha leo




Sema inategemea na mnyonyaji anaamua aamke saa ngapi, siku akichoka analala muda mrefu usiku. Kama juzi kaamka saa 7 usiku kaja kulala saa 10. Umama kazi sana nitalinda humu ndani hadi nikome![]()
Hatuwezi kuliacha lindo letu 😊National Anthem, Kitimoto, Mzee wa kupambania, Bantu Lady, Analyse, Half american, stow away, mshamba_hachekwi, To yeye
👉Amkeni tuta ibiwa😂🤣🤒
Me nilitoka Kariakoo naenda Sinza kituo cha kushuka Sinza Palestina si nikalala plus foleni ya magomeni na manzese usingizi ukakolea. Nakuja kustuka nipo Sayansi basi ikabidi nimalizie mpaka makumbusho then nipande gari ya kurudi tena.Nilisha sinzia nikapitishwa badala ya kushukia buyuni nikastuka niko chanika mwisho![]()
Pole sana, ila kubwa ni hongera!Sema inategemea na mnyonyaji anaamua aamke saa ngapi, siku akichoka analala muda mrefu usiku. Kama juzi kaamka saa 7 usiku kaja kulala saa 10. Umama kazi sana nitalinda humu ndani hadi nikome![]()
Me nilitoka Kariakoo naenda Sinza kituo cha kushuka Sinza Palestina si nikalala plus foleni ya magomeni na manzese usingizi ukakolea. Nakuja kustuka nipo Sayansi basi ikabidi nimalizie mpaka makumbusho then nipande gari ya kurudi tena.


hatare sn!Usiku unakuwa mkubwa00:05