Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,425
Mshike mshike Ndege ,Tunduni
Ndio tunamalizia wengine ndio tunaachiwaWalinda zamu mpo
HahahahahaNdio tunamalizia wengine ndio tunaachiwa
HahahahahaHao wengine bad wanapata dozi ya asubuhi,then wakija hapa wawe wepesi
Siti ya mbele afu umezima

kuna wale tunaingia lindo ,boss akiingia kulala nasisi tunalala ...ila alfajiri unakuta tupo activeAah hapo unaenda sinzia njiani0539 kumekucha, tukachanganyikiwe sasa

Ndio nimetoka kwa mchepuko,narudi hm sasa

Kwenye daladala mpaka unapitiliza kituo, kama unaenda mbali unajikuta unakoroma kabisa acha tuuAah hapo unaenda sinzia njiani![]()
Nilisha sinzia nikapitishwa badala ya kushukia buyuni nikastuka niko chanika mwishoKwenye daladala mpaka unapitiliza kituo, kama unaenda mbali unajikuta unakoroma kabisa acha tuu

