JamiiForums Usiku wa manane
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Habari za muda huu wakuu
Mimi ni kijana mwenye umri wa kati ya utu uzima na ujana.Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikipenda au kutamani wanawake walionizidi umri,hali hiyo imekuwa endelevu hadi sasa.

Kifupi tu ni kwamba sitamani wala kupenda wadada wa lika yangu,hata nikijaribu basi huwa sijiskii tena hisia huwa kwa wanawake wengine (wamama).

Nimekuwa nikiwapata pia tangu nikiwa na umri mdogo na ninainjoy sana tena nikipata maza lenye taqo na mwili yani liwe bonge hapo naachia zote.

Hoja yangu ya msingi ni je,hili laweza kuwa tatizo la kisaikolojia au ni machaguo tu na ni hali ya kawaida? (Msaada jamani)
 
Habari za muda huu wakuu
Mimi ni kijana mwenye umri wa kati ya utu uzima na ujana.Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikipenda au kutamani wanawake walionizidi umri,hali hiyo imekuwa endelevu hadi sasa.

Kifupi tu ni kwamba sitamani wala kupenda wadada wa lika yangu,hata nikijaribu basi huwa sijiskii tena hisia huwa kwa wanawake wengine (wamama).

Nimekuwa nikiwapata pia tangu nikiwa na umri mdogo na ninainjoy sana tena nikipata maza lenye taqo na mwili yani liwe bonge hapo naachia zote.

Hoja yangu ya msingi ni je,hili laweza kuwa tatizo la kisaikolojia au ni machaguo tu na ni hali ya kawaida? (Msaada jamani)
mshamba_hachekwi mi wish you nice night
 
Back
Top Bottom