Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,836
- 6,114
Unaonekana wewe ni wa kishua sana Unaibiwa nini Mwanafunzi? Na unadeka sana bloody kama sio mbinafsi.Usimwamini mtu mkuu dunia imebadilika siku hizi haijalishi unasoma nae au lah ! Dunia inamengi mkuu kuishi na mtu ambaye hujui historia yake hiyo nayo ni mtihani mkuu
Asikuambie mtu mbususu ukizichakata vzur na zikalala ule usingizi mzito au zikikupgia smu kuleta malalamiko ya uchovu na kusinzia kazini kila unapotembea unaviimba (unajikutaTyson)
Naishi vizuri na majirani na wapangaji wenzangu sio hakuna tatizo ila mahusiano yangu na wengi huwa yanamipaka sitaki mazoea sanaaUtakujw fia ndani wewe, Hiyo sio Privacy tena ni Secrete sasa.
we muache, tatizo watu wanachukulia mambo ya ngono kama taboo wakati ni kawaida kabisa😂
Hahah sema upwiru umeshindikanaHahahah focus na madeni
Sasa sisi solution ni Pesa mfukoni au uwe na Kimwana mmoja anakupenda kama nafsi yake vinginevyo ubake uende Jera.Daaah si atuna wa ivo ni moods tu![]()
Basi uko Systematic tena Serious sana na Maisha ndo ukose hata pisi ndugu yangu au wewe ni Mtawa?Naishi vizuri na majirani na wapangaji wenzangu sio hakuna tatizo ila mahusiano yangu na wengi huwa yanamipaka sitaki mazoea sanaa
Bora niwe mbinafsi ila huo usela wa kulala n mtu ghetto ambaye hujui historia yake siutaki aisee amini hivo mkuuUnaonekana wewe ni wa kishua sana Unaibiwa nini Mwanafunzi? Na unadeka sana bloody kama sio mbinafsi.
Tukiwapenda mnatuonaga washamba😂Sasa sisi solution ni Pesa mfukoni au uwe na Kimwana mmoja anakupenda kama nafsi yake vinginevyo ubake uende Jera.
Umeusikiliza Wimbo wa Roma unaitwa MIMI NI NANI?Bora niwe mbinafsi ila huo usela wa kulala n mtu ghetto ambaye hujui historia yake siutaki aisee amini hivo mkuu
Sio kwamba nipo seriously na maisha!! Hapana mkuu ni malezi una wazazi sametimes wanakusisitiza kuwa makini na maisha hasa mapenzi na marafiki ni chanzo kikubwa cha anguko la maisha ya mtu ukiiendekeza hayo mwisho huwa majutoBasi uko Systematic tena Serious sana na Maisha ndo ukose hata pisi ndugu yangu au wewe ni Mtawa?
hujakosea mahali, umeamua utunze bikra itunze ila usijimenye!! aidha ukaze au ule nyapuNiambieni tu wakuu wapi nakosea nijirekebishe
Hata hapana me aga najali sana nikipendwa hata kama Moyo wangu haupo hapo basi tu nagive back same effort to Show Love.Tukiwapenda mnatuonaga washamba![]()
Sijakuelewa mkuu unamaanisha nini??we muache, tatizo watu wanachukulia mambo ya ngono kama taboo wakati ni kawaida kabisa![]()
Upo sahih Mkuu, Ila utakua lini sasa au unasubir Mkeo aje akufundishe jins ya Kudeal na wanawake utakua umechelewa sana.Sio kwamba nipo seriously na maisha!! Hapana mkuu ni malezi una wazazi sametimes wanakusisitiza kuwa makini na maisha hasa mapenzi na marafiki ni chanzo kikubwa cha anguko la maisha ya mtu ukiiendekeza hayo mwisho huwa majuto
Aaaah nimeshakupata kaka kumbe nipo sahihi nilizani nakosea labda ningeweza kujirekebishahujakosea mahali, umeamua utunze bikra itunze ila usijimenye!! aidha ukaze au ule nyapu
namaanisha ngono ni kitu cha kawaida na ni haki yakoSijakuelewa mkuu unamaanisha nini??
Everything is under control na kila kitu kina wakati wake kuna umri ukifika nitahitaji mwanamke bila hata kutafutiwa na kuishi nae bila hata kufundisha it's just a matter of timeUpo sahih Mkuu, Ila utakua lini sasa au unasubir Mkeo aje akufundishe jins ya Kudeal na wanawake utakua umechelewa sana.
Sawa mkuunamaanisha ngono ni kitu cha kawaida na ni haki yako