JamiiForums Usiku wa manane
Basi uko Systematic tena Serious sana na Maisha ndo ukose hata pisi ndugu yangu au wewe ni Mtawa?
Sio kwamba nipo seriously na maisha!! Hapana mkuu ni malezi una wazazi sametimes wanakusisitiza kuwa makini na maisha hasa mapenzi na marafiki ni chanzo kikubwa cha anguko la maisha ya mtu ukiiendekeza hayo mwisho huwa majuto
 
Sio kwamba nipo seriously na maisha!! Hapana mkuu ni malezi una wazazi sametimes wanakusisitiza kuwa makini na maisha hasa mapenzi na marafiki ni chanzo kikubwa cha anguko la maisha ya mtu ukiiendekeza hayo mwisho huwa majuto
Upo sahih Mkuu, Ila utakua lini sasa au unasubir Mkeo aje akufundishe jins ya Kudeal na wanawake utakua umechelewa sana.
 
Upo sahih Mkuu, Ila utakua lini sasa au unasubir Mkeo aje akufundishe jins ya Kudeal na wanawake utakua umechelewa sana.
Everything is under control na kila kitu kina wakati wake kuna umri ukifika nitahitaji mwanamke bila hata kutafutiwa na kuishi nae bila hata kufundisha it's just a matter of time
 
Back
Top Bottom