mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
yah mwanangu wanasema 'love doesn't cost a dime'Nitakuona ngese wa kimataifa🤓😂🤣 Poor Brain
yah mwanangu wanasema 'love doesn't cost a dime'Nitakuona ngese wa kimataifa🤓😂🤣 Poor Brain
Mwanao Nani, 🤔🤔, akati ukiona k una tetemeka🤣😂😂yah mwanangu wanasema 'love doesn't cost a dime'
natetemeka kwa furaha😂ukiona k una tetemeka
Sema tupambanie Hali za maisha wazee💪natetemeka kwa furaha😂
bilionea kama bilionea 😂Sema tupambanie Hali za maisha wazee💪
Huyu dogo mshamba_hachekwi ataelewa akija kitaani, tumkabeeHuyo dogo mchovu...A.K.A bwabw ahahahahahahhah
To be💪💪💪, KHERI ikawe kwetu soteebilionea kama bilionea 😂
To be, KHERI ikawe kwetu sotee
vipi ukipata hizo billions zi utazigawa kwa maskini 😂To be💪💪💪, KHERI ikawe kwetu sotee
wengine huu ndo usiku baadae wanaingia shift😂Huu uzi bado mida yake wakuu
Mkuu wengine hatujui, Kama Kuna mchana na usiku😂🤣Huu uzi bado mida yake wakuu
Mkuu wengine hatujui, Kama Kuna mchana na usiku![]()
Mkuu Kuna mabilioni ya watu wanna hitaji usaidizi, hope nitafika huko🙏💪vipi ukipata hizo billions zi utazigawa kwa maskini 😂

Kila siku tuna lala kesho🤣😂🤓Mtarudi saa 8 za usiku![]()
nenda kaselfike billionaire-to-be tukuone😂 au unaona aibuOy mshamba_hachekwi na Poor Brain ona braza anataka tuihame kambi yetu🤣😂
Xawa, twendenenda kaselfike billionaire-to-be tukuone😂 au unaona aibu
Mi dhaifu sana kwa wadada mkuuusikute hayo yote unafanya kwa ajili ya mwanamke..... ntakushangaa sana