Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,355
- 96,644
We Waite wengi watakubeba, Mana nasikia mtu mwenyewe ni bonge Kama pipa la gongoπ€£πππWeee ukuje tuu ujionee najua hutoamini nitakavo mfanya an....ππππ
We Waite wengi watakubeba, Mana nasikia mtu mwenyewe ni bonge Kama pipa la gongoπ€£πππWeee ukuje tuu ujionee najua hutoamini nitakavo mfanya an....ππππ
Kibonge lakini mwepesi....We Waite wengi watakubeba, Mana nasikia mtu mwenyewe ni bonge Kama pipa la gongoπ€£πππ
Wataona itv, kijana mmoja amekutwa amefanyiwa ukatili was kihistoriaaπ€£ππMi nachekaga tuu...
Maana sibato bato na watoto mpaka nikufundishe adabu kwanza sawa
1:15 ndo nimemaliza kupanga vitu vyangu vya ndani hapa nilipo amia.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Ila cheka tukija on serious issue usije gusa hu moto Intelligent businessman nakusanua mapema πππ€Wataona itv, kijana mmoja amekutwa amefanyiwa ukatili was kihistoriaaπ€£ππ
Mkuu..1:15 ndo nimemaliza kupanga vitu vyangu vya ndani hapa nilipo amia.
Dharau hiziπ€πππ, utapasukaaaKwaio hapa kuna zena na betina wakiume kumbeππππ
Hapana kuna (zena/betina) ndio Intelligent businessman alafu na mimi hapa kishoka Poor BrainKwaio hapa kuna zena na betina wakiume kumbeππππ
Alafu kweli ni dharau kiwango cha rami au tumuuzie huu ugomviDharau hiziπ€πππ, utapasukaaa
Tumpasue aiseeππAlafu kweli ni dharau kiwango cha rami au tumuuzie huu ugomvi
Kmmk, we zuwena tuliaaπππHapana kuna (zena/betina) ndio Intelligent businessman alafu na mimi hapa kishoka Poor Brain
Kashaya vaa huyu ngoja nita deal nae badae ngoja niingie kuumiza machoTumpasue aiseeππ
Weee ndo betina kwahiyo au π€π€π€πππKmmk, we zuwena tuliaaπππ