JamiiForums Usiku wa manane
Tumewasifu kukimbia
Madogo mmepapita kwenu
Leo imefikia mwisho,
Nimechoka kelele na mipasho yenu

Kwa Uwezo na umaarufu jf Nishawashinda
Kama vipi shikeni kisu mnikate😂😂😎
Ebuu niskilize wee pimbi,
Jf nipo kipindi,
Toka enzi zile we dogo upo shule ya msingi,

Alafu mbona unaongea ka taahira, kati juzi juzi tuu we dogo nimekupa dira,

Long time nakushangaa,
Hata hiyo ID yako ishachakaa
Si unajita intel na akili yako imezubaa
 
Ebuu niskilize wee pimbi,
Jf nipo kipindi,
Toka enzi zile we dogo upo shule ya msingi,

Alafu mbona unaongea ka taahira, kati juzi juzi tuu we dogo nimekupa dira,

Long time nakushangaa,
Hata hiyo ID yako ishachakaa
Si unajita intel na akili yako imezubaa
Mwenye kisu ndo anakula nyama
Usiongelee bifu,
Utachekesha Kama sindano
Inayo tetemekea jipu

Nimezaliwa nacheka
Ila simaanishi mtakatifu
Ni mtu wa watu jf
Na MUNGU ndo anaye nilinda kila siku
 
Back
Top Bottom