Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,133
Umeanza gonga gonga nyagi unaona umekua..Natoka nanjilinjii my friend, sijaja shindana na omba omba wa kimataifa anaye nitukana ili atrend😂😂
Umeanza nyonya nyonya bangi kunyonga ujajua
Umeanza gonga gonga nyagi unaona umekua..Natoka nanjilinjii my friend, sijaja shindana na omba omba wa kimataifa anaye nitukana ili atrend😂😂
My best friend....🤓🤓🤓🤓🤓Oy mshamba_hachekwi Naona huyo boya Poor Brain kakimbia Baada ya kumpa kisago kizito😂😂
Demu unaye muona nyotaWati hawagusi hii medullaa...
Kua na kikomo broo 🤓🤓😂😂😂😂
Juzi juzi tuu ulikua mtoto poli,
Leo unaita wachumba PM mpige story..
Wachumba wanasha wee intell mbona mbwiga
Vi likes kidogo unaanza kujiona biber🤓🤓😂😂😂😂😂😂😂
Siwafichi peopleMy best friend....🤓🤓🤓🤓🤓
Nakulea leo afu unataka kunyea kambi...
Moyo wangu mdogo siwezi fuga chuki Intelligent businessman
Sikutukani mybe uanzishe ugomvi nami .. we are best friends.
Kwanza kunywa chai...,,Demu unaye muona nyota
Ukilala unamuota,
Wajuba washapiga garagaza
Siku umejibiwa comment
Nasikia ulipiga nyeto za kutosha
Muhuni una tushangaza😂😂
Intel the son, ndo habari ya townUmeanza gonga gonga nyagi unaona umekua..
Umeanza nyonya nyonya bangi kunyonga ujajua
Wee ni msosi mfano wa chipsi na maini..ila mbishi kama niniSiwafichi people
Mlipo nipo
Ila nilipo mwiko
Sio simple
Kuvamia kambi ya Intel bilaa pistol
Bora ungekuja na greda,
We una kuja na kijiko😂😂
Bunduki za maji haziuwiiiiIntel the son, ndo habari ya town
Natuma njiwa, zifike salamu
Kutesa kwa zamu, maisha matamu
Usingoje kipofu, akupe salamu
We keep majamu, ma vitu haramu
Tusinge yasema, msingefahamu
Nangoja kwa hamu,
maana najua, hamuwezi mtashusha kalamu😂😂
Now we all ready knowKwanza kunywa chai...,,
Wenzio walio nijadili walikuanja tai..
Kuniponda huo sio ujasili ni sucid..,
Ukiishi upande wangu, haustairi matusi yangu, haustail hata muda wangu. 🤓🤓🤓😂😂😂😂😂
Am your best friends
Niko faste so slowwBunduki za maji haziuwiiii
😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Wenzio wanachukua wachumba waki ni quot mimiNow we all ready know
Sasa tunaona unakuwa tatizo
Na sijui nani atasolve, rapper mbovu
Muhuni gani hauna hata kovu😂😂,
Sabuni haikauki mapovu
Pruuu mpaka makka haunikuti...Niko faste so sloww
Nimezaliwa kupambana😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Wenzio wanachukua wachumba waki ni quot mimi
upwani mwingi 😂Nimezaliwa kupambana
Mana ya kuishi ni kuiona kesho
Na Mimi ni special,
Kipaji nilicho pewa na MUNGU, Kama zawadi ya utafutaji na ndugu
Kuhusu kufunikwa siwazi
Ila kuhusu Poor Brain na mshamba_hachekwi
mi ndo mkubwa wa kazi😂😂😎
Tumewasifu kukimbiaPruuu mpaka makka haunikuti...
Kiakili wee ni mpuuzii puuzi
Unapatia vyema
Hizo baka baka pussy pussy,
Nilizitabili kama kuch kuch
Bado unarudia tena
Panga mstali intel hapa mpaka kule.Nimezaliwa kupambana
Mana ya kuishi ni kuiona kesho
Na Mimi ni special,
Kipaji nilicho pewa na MUNGU, Kama zawadi ya utafutaji na ndugu
Kuhusu kufunikwa siwazi
Ila kuhusu Poor Brain na mshamba_hachekwi
mi ndo mkubwa wa kazi😂😂😎
Mipasho umeona eeeh.. vidole juuupwani mwingi 😂
vijembe kama vya kwenye taarab na singeliMipasho umeona eeeh.. vidole juu
Hamna sifa, vipi niwasifiePanga mstali intel hapa mpaka kule.
Teketi mkononi jf hakuna kuzama bure,
Over 18 hiki sio kiwanja cha shule,kuweni makini hi kazi inatufanya tule...
We ni tozi unaenda wapi na hauna hela, panga foleni au rudi nyuma unga tela,
Ushamba wenu was hukovijembe kama vya kwenye taarab na singeli