JamiiForums Usiku wa manane
Sijui ni Good morning or Goodnight I don't know. Ila nawaaga kuna mtu hapa hanywi ndio wote tumepark atatufikisha majumbani kwetu. Niko okay ila naona kizunguzungu tu. National Anthem ye34nbe Nawapenda sana. Kuna wajinga hapa wanapiga kelele tu Am out babe kanicall sina hamu na mkesha wa Yanga πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ˜ͺπŸ™ŒπŸ»
 
Sijui ni Good morning or Goodnight I don't know. Ila nawaaga kuna mtu hapa hanywi ndio wote tumepark atatufikisha majumbani kwetu. Niko okay ila naona kizunguzungu tu. National Anthem ye34nbe Nawapenda sana. Kuna wajinga hapa wanapiga kelele tu Am out babe kanicall sina hamu na mkesha wa Yanga πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ˜ͺπŸ™ŒπŸ»
Good night auntiee ❀️❀️❀️ ufike salama home, πŸ’›πŸ’šπŸ’ž
 
Shangaaziii yake Bantu Lady safiii huwa namkubali sana mtu anaelala asubuhi na kabla ya saa nne asubuhi anakuwa machooo pokeee maua yakooo shangazi yangu mzuriii hakunaga kama weyee πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
 
Shangaaziii yake Bantu Lady safiii huwa namkubali sana mtu anaelala asubuhi na kabla ya saa nne asubuhi anakuwa machooo pokeee maua yakooo shangazi yangu mzuriii hakunaga kama weyee πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
Ankol simu hizi dah. Ningejua ningezima tu. Leo kuamka ilikuwa saa 7 muda wa lunch. Simu zinaita utasema nina figo zao πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Vipi Ankol nawe ushaamka naona. Ila jana kulikuwa na vibe πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Ankol simu hizi dah. Ningejua ningezima tu. Leo kuamka ilikuwa saa 7 muda wa lunch. Simu zinaita utasema nina figo zao πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Vipi Ankol nawe ushaamka naona. Ila jana kulikuwa na vibe πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Aunty, mie asubuhi huwa lazima niwe macho hata nikilala saa 12 asubuhi πŸ˜…πŸ˜… then kama kulala mchana huko .. Nipo njeema sana hapa.. na kautulivu hakaa aaah safii
 
Aunty, mie asubuhi huwa lazima niwe macho hata nikilala saa 12 asubuhi πŸ˜…πŸ˜… then kama kulala mchana huko .. Nipo njeema sana hapa.. na kautulivu hakaa aaah safii
Uko vizuri sana Ankol. Mimi bila msaada wa Alarm, mtu kuniamsha ama kama hivi simu mmmh napitiliza. Labda niwe nimekunywa kidogo sana my limit naamka. Jana vibe kubwa niliendelea tu. Kila wakitaja Yanga ndiyo walinivuruga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uko vizuri sana Ankol. Mimi bila msaada wa Alarm, mtu kuniamsha ama kama hivi simu mmmh napitiliza. Labda niwe nimekunywa kidogo sana my limit naamka. Jana vibe kubwa niliendelea tu. Kila wakitaja Yanga ndiyo walinivuruga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Leo tunawapiga pale kwao hizi 2 kwa nungeee
 
Back
Top Bottom