YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Sinzaa oyeee, πππ. Asee huo mtaa ni nomawajaneeeeeni hapa mie natembea tuuu.. hotelin na hapa dk 3 tuuuu ,π π π π
Sinzaa oyeee, πππ. Asee huo mtaa ni nomawajaneeeeeni hapa mie natembea tuuu.. hotelin na hapa dk 3 tuuuu ,π π π π
kitambaaa to Bluebird ππππ... hiyooooSinzaa oyeee, πππ. Asee huo mtaa ni noma
Sema hii aridi ndo inanogesha hicho kitu,kitambaaa to Bluebird ππππ... hiyoooo
bye mkuuuu π π matoto yananipa amsha amshaaa natamani nilianzishie kwenye liftSema hii aridi ndo inanogesha hicho kitu,
Enjoy mkuu,
Good night auntiee β€οΈβ€οΈβ€οΈ ufike salama home, πππSijui ni Good morning or Goodnight I don't know. Ila nawaaga kuna mtu hapa hanywi ndio wote tumepark atatufikisha majumbani kwetu. Niko okay ila naona kizunguzungu tu. National Anthem ye34nbe Nawapenda sana. Kuna wajinga hapa wanapiga kelele tu Am out babe kanicall sina hamu na mkesha wa Yanga ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»πͺππ»
Thank you my young bro ye34nbe be safe πππβ€Good night auntiee β€οΈβ€οΈβ€οΈ ufike salama home, πππ
Sio pm Tunapeana michapo Whatsap π€π€ππ!!Uliona yule mjinga mwenye ID nyingi? Alipotokea kuanza kunishambulia? Nitakupa mchapo zaidi pm π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Nipooo ankoli anguuu sema nimetingwa kidogo tyuuu ila tupo pamoja ankooo akee namieπ!!ππππππ Natamani tonnia angekuwepo hapa sema atakuwa kimelala saizi π
πππ badae shangaaazi goja nikaogeshwee kwanzaaaSafari ya Nyakiboo πππππ!!
Samalekooo Mjomba!!
aaah manina walahiii . goja ninue smartphone haiwezekani muwe muna ni yext tu kama promo za voda π πSio pm Tunapeana michapo Whatsap π€π€ππ!!
Ankol simu hizi dah. Ningejua ningezima tu. Leo kuamka ilikuwa saa 7 muda wa lunch. Simu zinaita utasema nina figo zao π π π π πShangaaziii yake Bantu Lady safiii huwa namkubali sana mtu anaelala asubuhi na kabla ya saa nne asubuhi anakuwa machooo pokeee maua yakooo shangazi yangu mzuriii hakunaga kama weyee π₯°π₯°π₯°π₯°
Aunty, mie asubuhi huwa lazima niwe macho hata nikilala saa 12 asubuhi π π then kama kulala mchana huko .. Nipo njeema sana hapa.. na kautulivu hakaa aaah safiiAnkol simu hizi dah. Ningejua ningezima tu. Leo kuamka ilikuwa saa 7 muda wa lunch. Simu zinaita utasema nina figo zao π π π π π
Vipi Ankol nawe ushaamka naona. Ila jana kulikuwa na vibe π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Uko vizuri sana Ankol. Mimi bila msaada wa Alarm, mtu kuniamsha ama kama hivi simu mmmh napitiliza. Labda niwe nimekunywa kidogo sana my limit naamka. Jana vibe kubwa niliendelea tu. Kila wakitaja Yanga ndiyo walinivuruga ππππππAunty, mie asubuhi huwa lazima niwe macho hata nikilala saa 12 asubuhi π π then kama kulala mchana huko .. Nipo njeema sana hapa.. na kautulivu hakaa aaah safii
Leo tunawapiga pale kwao hizi 2 kwa nungeeeUko vizuri sana Ankol. Mimi bila msaada wa Alarm, mtu kuniamsha ama kama hivi simu mmmh napitiliza. Labda niwe nimekunywa kidogo sana my limit naamka. Jana vibe kubwa niliendelea tu. Kila wakitaja Yanga ndiyo walinivuruga ππππππ
πππ, sawa auntiee, mzuriNipooo ankoli anguuu sema nimetingwa kidogo tyuuu ila tupo pamoja ankooo akee namieπ!!