JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Sijui ni Good morning or Goodnight I don't know. Ila nawaaga kuna mtu hapa hanywi ndio wote tumepark atatufikisha majumbani kwetu. Niko okay ila naona kizunguzungu tu. National Anthem ye34nbe Nawapenda sana. Kuna wajinga hapa wanapiga kelele tu Am out babe kanicall sina hamu na mkesha wa Yanga ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ˜ช๐Ÿ™Œ๐Ÿป
 
Sijui ni Good morning or Goodnight I don't know. Ila nawaaga kuna mtu hapa hanywi ndio wote tumepark atatufikisha majumbani kwetu. Niko okay ila naona kizunguzungu tu. National Anthem ye34nbe Nawapenda sana. Kuna wajinga hapa wanapiga kelele tu Am out babe kanicall sina hamu na mkesha wa Yanga ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ˜ช๐Ÿ™Œ๐Ÿป
Good night auntiee โค๏ธโค๏ธโค๏ธ ufike salama home, ๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’ž
 
Shangaaziii yake Bantu Lady safiii huwa namkubali sana mtu anaelala asubuhi na kabla ya saa nne asubuhi anakuwa machooo pokeee maua yakooo shangazi yangu mzuriii hakunaga kama weyee ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
 
Shangaaziii yake Bantu Lady safiii huwa namkubali sana mtu anaelala asubuhi na kabla ya saa nne asubuhi anakuwa machooo pokeee maua yakooo shangazi yangu mzuriii hakunaga kama weyee ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
Ankol simu hizi dah. Ningejua ningezima tu. Leo kuamka ilikuwa saa 7 muda wa lunch. Simu zinaita utasema nina figo zao ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Vipi Ankol nawe ushaamka naona. Ila jana kulikuwa na vibe ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
 
Ankol simu hizi dah. Ningejua ningezima tu. Leo kuamka ilikuwa saa 7 muda wa lunch. Simu zinaita utasema nina figo zao ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Vipi Ankol nawe ushaamka naona. Ila jana kulikuwa na vibe ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
Aunty, mie asubuhi huwa lazima niwe macho hata nikilala saa 12 asubuhi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… then kama kulala mchana huko .. Nipo njeema sana hapa.. na kautulivu hakaa aaah safii
 
Aunty, mie asubuhi huwa lazima niwe macho hata nikilala saa 12 asubuhi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… then kama kulala mchana huko .. Nipo njeema sana hapa.. na kautulivu hakaa aaah safii
Uko vizuri sana Ankol. Mimi bila msaada wa Alarm, mtu kuniamsha ama kama hivi simu mmmh napitiliza. Labda niwe nimekunywa kidogo sana my limit naamka. Jana vibe kubwa niliendelea tu. Kila wakitaja Yanga ndiyo walinivuruga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Uko vizuri sana Ankol. Mimi bila msaada wa Alarm, mtu kuniamsha ama kama hivi simu mmmh napitiliza. Labda niwe nimekunywa kidogo sana my limit naamka. Jana vibe kubwa niliendelea tu. Kila wakitaja Yanga ndiyo walinivuruga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Leo tunawapiga pale kwao hizi 2 kwa nungeee
 
Back
Top Bottom