Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,869
- 32,710
wanejificha kwenye mashimo kama panyaaa 🤣🤣🤣🤣 wana tabia za kichawiiii.. ukigeuza shingo wanasema... ukiwepo wanapoteaaaankol wale wanafiki wa humu leo wako wapi? Au wanasoma kimyakimya?
😅😅😅 shida humu watu wana mentality za kimaskini na roho mbayaa tuu.. na wanajifanya kuwajua sana watu ... wanajiona kama CIA wa maisha ya watuuu...Ankol National Anthem serious nilikuwa likizo so nikawa nalala mchana, usiku usingizi unakata. Basi nikarudi kijiwe changu cha toka 2014 hapa.
Hee likavamia kundi la low life eti nakesha sm single 😂😂😂😂
Wewe Ankol unanijua hivi mimi toka kichwani mpk kidoleni ni wa kukosa mtu? Wangejua nina mtu kibopa balaa ana hela chafu naweza kwenda popote Vacation, bila kutumia sumni yangu. Watu wanaonaga kama wote wako sawa humu. Wanachukulia watu poa sana. Wengine show off hatuziwezi tu.
❤️❤️❤️❤️❤️, auntiee yangu huyo,Ankol National Anthem serious nilikuwa likizo so nikawa nalala mchana, usiku usingizi unakata. Basi nikarudi kijiwe changu cha toka 2014 hapa.
Hee likavamia kundi la low life eti nakesha am single 😂😂😂😂
Wewe Ankol unanijua hivi mimi toka kichwani mpk kidoleni ni wa kukosa mtu? Wangejua nina mtu kibopa balaa ana hela chafu naweza kwenda popote Vacation, bila kutumia sumni yangu. Watu wanaonaga kama wote wako sawa humu. Wanachukulia watu poa sana. Wengine show off hatuziwezi tu.
3:34[emoji3166]No Escape,
Mie natizama FIESTA imooo.
Umemaliza yote, nilipopotea nao wakapotea hapa. Yaani maisha yangu, mshahara wangu unakatwa na Serikali. Nalipa kodi zote but mtu mwenye ID fake anitake niishi humu atakavyo yeye maajabu haya. Nakukubali Ankol wangu National Anthem unaishi utakavyo.😅😅😅 shida humu watu wana mentality za kimaskini na roho mbayaa tuu.. na wanajifanya kuwajua sana watu ... wanajiona kama CIA wa maisha ya watuuu...
Jiachie shangazi yangu mzuriii.. kwanza umewazidi kwa kila kituuuu ...
Wao ushamba na maisha yao ya udangaji wanahisi wote wapo hivyooo ...
😍😍😍😍😍♥️♥️ my lovely auntiee huna baya na mtu,Umemaliza yote, nilipopotea nao wakapotea hapa. Yaani maisha yangu, mshahara wangu unakatwa na Serikali. Nalipa kodi zote but mtu mwenye ID fake anitake niishi humu atakavyo yeye maajabu haya. Nakukubali Ankol wangu National Anthem unaishi utalavyo.
Bila kumsahau mdogo wangu wa dhahabu ye34nbe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😅😅😅 mie sipangiwi ( in JPM voice )....Umemaliza yote, nilipopotea nao wakapotea hapa. Yaani maisha yangu, mshahara wangu unakatwa na Serikali. Nalipa kodi zote but mtu mwenye ID fake anitake niishi humu atakavyo yeye maajabu haya. Nakukubali Ankol wangu National Anthem unaishi utakavyo.
Bila kumsahau mdogo wangu wa dhahabu ye34nbe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Shangaziii Bantu Lady hana bayaaa hanaaa bayaaa basi watu wana wivuuuu tuuuu kwanza kawazidi kwa kila kituuuu...
Unajua ukiwa. Mwanamke (mzuri, mwenye hela, na huna njaa ya mahusiano)Shangaziii Bantu Lady hana bayaaa hanaaa bayaaa basi watu wana wivuuuu tuuuu kwanza kawazidi kwa kila kituuuu...
Nakupenda zaidi auntiee wangu 💗💞, wakikusumbua nipe id zao ni deal nao kisawa sawa,Nawapenda sana Ankol National Anthem na mdogo wangu forever ye34nbe ❤
🥰🥰🥰🥰 makopaaa kamaa yooote shangazi usie na hila wala bayaaaaa... mjomba wako nipooo hapaaa nasubiri pakuche niondoke na kondoo wanguuuu wamenonaaa mikiaaa haoooNawapenda sana Ankol National Anthem na mdogo wangu forever ye34nbe ❤
😅😅😅😅😅 Ila we jamaa, aseee 🤣🤣 eti kondoo🥰🥰🥰🥰 makopaaa kamaa yooote shangazi usie na hila wala bayaaaaa... mjomba wako nipooo hapaaa nasubiri pakuche niondoke na kondoo wanguuuu wamenonaaa mikiaaa haooo
Uliona yule mjinga mwenye ID nyingi? Alipotokea kuanza kunishambulia? Nitakupa mchapo zaidi pm 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakupenda zaidi auntiee wangu 💗💞, wakikusumbua nipe id zao ni deal nao kisawa sawa,
😘.
wana mikiaaaa hiyooo imenonaaaa baraaaa 😅😅😅😅 sura za baba zaoooo ila chini hukooo no shidaaaa😅😅😅😅😅 Ila we jamaa, aseee 🤣🤣 eti kondoo
Natambua hilo Ankol unaanzaje kukosa kifaa chenye TBS wewe aaah hiyo haitatokea. Kula maisha🥰🥰🥰🥰 makopaaa kamaa yooote shangazi usie na hila wala bayaaaaa... mjomba wako nipooo hapaaa nasubiri pakuche niondoke na kondoo wanguuuu wamenonaaa mikiaaa haooo
ivi kufunga kwangu PM nakosa mengiii 🫣🫣🫣Uliona yule mjinga mwenye ID nyingi? Alipotokea kuanza kunishambulia? Nitakupa mchapo zaidi pm 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo choko, nimegombana nae. Majuzi na nilimsababishia ban kabisa, kikarudi upyaUliona yule mjinga mwenye ID nyingi? Alipotokea kuanza kunishambulia? Nitakupa mchapo zaidi pm 🤣🤣🤣🤣🤣🤣