JamiiForums Usiku wa manane
Uko mitaa gani niibuke
Niko Masaki huku ila babe wangu akipitia hapa kesho nimeisha πŸ™†β€πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
 
Niko Masaki huku ila babe wangu akipitia hapa kesho nimeisha πŸ™†β€πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
Utahamiiiaaaa kwaaa ankooo mjombaaa.. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… chumba cha mgeni kipooo
 
Ankol National Anthem serious nilikuwa likizo so nikawa nalala mchana, usiku usingizi unakata. Basi nikarudi kijiwe changu cha toka 2014 hapa.
Hee likavamia kundi la low life eti nakesha am single πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe Ankol unanijua hivi mimi toka kichwani mpk kidoleni ni wa kukosa mtu? Wangejua nina mtu kibopa balaa ana hela chafu naweza kwenda popote Vacation, bila kutumia sumni yangu. Watu wanaonaga kama wote wako sawa humu. Wanachukulia watu poa sana. Wengine show off hatuziwezi tu.
 
Ankol National Anthem serious nilikuwa likizo so nikawa nalala mchana, usiku usingizi unakata. Basi nikarudi kijiwe changu cha toka 2014 hapa.
Hee likavamia kundi la low life eti nakesha sm single πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe Ankol unanijua hivi mimi toka kichwani mpk kidoleni ni wa kukosa mtu? Wangejua nina mtu kibopa balaa ana hela chafu naweza kwenda popote Vacation, bila kutumia sumni yangu. Watu wanaonaga kama wote wako sawa humu. Wanachukulia watu poa sana. Wengine show off hatuziwezi tu.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… shida humu watu wana mentality za kimaskini na roho mbayaa tuu.. na wanajifanya kuwajua sana watu ... wanajiona kama CIA wa maisha ya watuuu...

Jiachie shangazi yangu mzuriii.. kwanza umewazidi kwa kila kituuuu ...

Wao ushamba na maisha yao ya udangaji wanahisi wote wapo hivyooo ...
 
Ankol National Anthem serious nilikuwa likizo so nikawa nalala mchana, usiku usingizi unakata. Basi nikarudi kijiwe changu cha toka 2014 hapa.
Hee likavamia kundi la low life eti nakesha am single πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe Ankol unanijua hivi mimi toka kichwani mpk kidoleni ni wa kukosa mtu? Wangejua nina mtu kibopa balaa ana hela chafu naweza kwenda popote Vacation, bila kutumia sumni yangu. Watu wanaonaga kama wote wako sawa humu. Wanachukulia watu poa sana. Wengine show off hatuziwezi tu.
❀️❀️❀️❀️❀️, auntiee yangu huyo,

Waache waongee, hawana lolote
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… shida humu watu wana mentality za kimaskini na roho mbayaa tuu.. na wanajifanya kuwajua sana watu ... wanajiona kama CIA wa maisha ya watuuu...

Jiachie shangazi yangu mzuriii.. kwanza umewazidi kwa kila kituuuu ...

Wao ushamba na maisha yao ya udangaji wanahisi wote wapo hivyooo ...
Umemaliza yote, nilipopotea nao wakapotea hapa. Yaani maisha yangu, mshahara wangu unakatwa na Serikali. Nalipa kodi zote but mtu mwenye ID fake anitake niishi humu atakavyo yeye maajabu haya. Nakukubali Ankol wangu National Anthem unaishi utakavyo.
Bila kumsahau mdogo wangu wa dhahabu ye34nbe πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Umemaliza yote, nilipopotea nao wakapotea hapa. Yaani maisha yangu, mshahara wangu unakatwa na Serikali. Nalipa kodi zote but mtu mwenye ID fake anitake niishi humu atakavyo yeye maajabu haya. Nakukubali Ankol wangu National Anthem unaishi utalavyo.
Bila kumsahau mdogo wangu wa dhahabu ye34nbe πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
😍😍😍😍😍β™₯️β™₯️ my lovely auntiee huna baya na mtu,

πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—
 
Umemaliza yote, nilipopotea nao wakapotea hapa. Yaani maisha yangu, mshahara wangu unakatwa na Serikali. Nalipa kodi zote but mtu mwenye ID fake anitake niishi humu atakavyo yeye maajabu haya. Nakukubali Ankol wangu National Anthem unaishi utakavyo.
Bila kumsahau mdogo wangu wa dhahabu ye34nbe πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mie sipangiwi ( in JPM voice )....
Hawajui nilipotoka wala napokwendaaa

Rais wa maisha yangu ni mwenyewe .. naishije najua mwenyewee... tukule bataaa bataaa shangaziii kama shangaziii πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Maisha ndio hayaaa hayaaa bataaaa ziliweee
 
πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯° makopaaa kamaa yooote shangazi usie na hila wala bayaaaaa... mjomba wako nipooo hapaaa nasubiri pakuche niondoke na kondoo wanguuuu wamenonaaa mikiaaa haooo
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Ila we jamaa, aseee 🀣🀣 eti kondoo
 
πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯° makopaaa kamaa yooote shangazi usie na hila wala bayaaaaa... mjomba wako nipooo hapaaa nasubiri pakuche niondoke na kondoo wanguuuu wamenonaaa mikiaaa haooo
Natambua hilo Ankol unaanzaje kukosa kifaa chenye TBS wewe aaah hiyo haitatokea. Kula maisha
 
Back
Top Bottom