JamiiForums Usiku wa manane
Basi ngoja nirudi kwako....
Nimekuona ukishuhudia jinsi unavyojikutaga umelalia kichwa baada ya mazoezi hayo,hivi hayo ni mazoezi gani lakini mbona mmeniacha hewani?

Huo ushuhuda nimeutoa wapi tena, punguza uchochezi asee
 
Kwa kweli mchana sioagi,ila kuna mtu kanisimulia tu....nasikia mpaka umeamua ukapadrishwa kwa sababu unakerwa na hiyo hali ya kujikuta umelalia kichwa

Mimi mwenyewe nilikua nashangaa watu walivyokua wanafunguka, nikajikuta mimi mwenyewe ndo sijawahi kufanya hayo mazoezi, nikaona hapanifai nikasepa zangu
 
Back
Top Bottom