trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,453
- 10,818
Asante yaani acha tuu unakuta una usingizi mwenyewe ndio kwanza jicho kavuNdo ukubwa huo.....jikaze


Asante yaani acha tuu unakuta una usingizi mwenyewe ndio kwanza jicho kavuNdo ukubwa huo.....jikaze


Hapo saa 12 asubuhi ndo anapata usingizi wakati wewe unatakiwa uamke uendelee na shughuli nyingine...🤣🤣.Asante yaani acha tuu unakuta una usingizi mwenyewe ndio kwanza jicho kavu![]()
yakikuvuruga na wewe yavurugePole mi nazurura tu, maana Nina mengi yaliyo nivurugaa leoo

nimekumbuka msemo wa mzee wanguNisha yapigia hesabu, hope zita tickPole sana hope you will get better soon, sorry kwa yaliyokuvuruga
I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononiyakikuvuruga na wewe yavurugenimekumbuka msemo wa mzee wangu
Kufakunoga utakatwa shingo kihasaraHakuna kitu mbaya kama ulinzi
Umemaanisha roho mkononi panga beganiI mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
Ndio nipo shift isiyo na mshaharaKufakunoga utakatwa shingo kihasara
Shift isiyo na mshahara umepigwa fainiNdio nipo shift isiyo na mshahara