National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Nipo hapa kufunga lindo
05:32
05:32
Pole sana.Maombi yenu ......bibi yangu aliyenilea ambaye kwangu ni mama yangu anaumwa sana..... Nampenda sana mwenzenu.....mama alipokuwa anapitia magumu bibi yangu hakutuacha.Maombi yenu please...... National Anthem usinisahaulie wimbo wa dini Leo....nipo sad kidogo my bro
Yuko poa sasa wangu...Amesimama tena.Pole sana.
Mungu ni mwema. Atatenda kadri tuombavyo.
Cheo Cha urais wa chama Cha wezi si mchezo, lazima niangalie tunafanyaje ili kuweza kuwa na mbinu bora za kiwizi.Intelligent businessman toka umepanda cheo.. hukeshi 😅😅
Saivi kawa taita anasema 😀Intelligent businessman toka umepanda cheo.. hukeshi 😅😅
Boss kubwa fanya mpango hata wa buku 2 ninywe chai aiseeCheo Cha urais wa chama Cha wezi si mchezo, lazima niangalie tunafanyaje ili kuweza kuwa na mbinu bora za kiwizi.
👉Lakini pia naangalia vijana wa chama Cha wezi kina chambo wa chama Cha wezi wanafanyaje mission ninazo wapa 😁😆 Analyse, mpiga chaboo Poor Brain, miyeyusho stow away, mwizi anaye chipukia National Anthem na mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania.
👉Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
👉 I mean no malice to nobody
I mean no malice to nobodySaivi kawa taita anasema 😀
Mi mchimba chumvi tuBoss kubwa fanya mpango hata wa buku 2 ninywe chai aisee
Nilikuwa na National Anthem Ubungo darajani mambo ni bilabila. Hebu tufikirie aiseeI mean no malice to nobody
Ndo kauli zenu maboss 😀Mi mchimba chumvi tu