Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,584
Aniambie tena mara ya Pili ?@Tayukwa atakwambia nikoje mimi.
03:31
Aniambie tena mara ya Pili ?@Tayukwa atakwambia nikoje mimi.
Yeeuw sindo kaniambia nikesheWee siyo jirani yetu. Kilichokufanya usilale uwahi kuamka ni nini?
Wenzako dakika 10 tu kwa gari tumefika job. Jirani ukianza pandisha watoto wa uswazi gari lako shauri yako
Nafikiri hajawahi tembelea ule uzi wa warembo wakali wa duniani huko na hajui kwamba unaweza ku download picha na kuileta hukuTayukwa naomba nijibie hili swali...
Ndio ulikuwa ujui 😂😂😂Kumbe uyu dogo wa 2006,alafu kutwa anafukizia mawindo ya Kaka zake
Hahahah hakawii kuja kulia vitumbua vyake kwenye gari na magimbiWee siyo jirani yetu. Kilichokufanya usilale uwahi kuamka ni nini?
Wenzako dakika 10 tu kwa gari tumefika job. Jirani ukianza pandisha watoto wa uswazi gari lako shauri yako
Nalala best done.Nafikiri hajawahi tembelea ule uzi wa warembo wakali wa duniani huko na hajui kwamba unaweza ku download picha na kuileta huku
Nna mashaka hata yule mlinzi wa zamu wa leo aliyesema anaenda chooni itakuwa ameweweseka na hiyo
Mkuu stow away naomba upitie kule ujue huyu kimbaumbau kaiba picha ya mtu kule
Kwahio vitumbus wewe vinakuhusu nini ww nipe lift bhnaHahahah hakawii kuja kulia vitumbua vyake kwenye gari na magimbi
Noma na Nusu kule wanaendaga vijana wa kujichukulia sheria mkononi sasa yeye amefeata nini kule ?Nafikiri hajawahi tembelea ule uzi wa warembo wakali wa duniani huko na hajui kwamba unaweza ku download picha na kuileta huku
Nna mashaka hata yule mlinzi wa zamu wa leo aliyesema anaenda chooni itakuwa ameweweseka na hiyo
Mkuu stow away naomba upitie kule ujue huyu kimbaumbau kaiba picha ya mtu kule
Wakati sisi watoto wa Masaki tunabeba sandwich. Usikubali jiraniHahahah hakawii kuja kulia vitumbua vyake kwenye gari na magimbi
Aisee hivi haya yanafanyika kweli au umeamua nionekane mwehu kucheka peke yangu usiku huu tena kwa sauti?Hahahah hakawii kuja kulia vitumbua vyake kwenye gari na magimbi
Sijaenda bana anakutania. Best angu mjanja hataki wengine wajue... Tayukwa shikamoo 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😂😂😂😂Noma na Nusu kule wanaendaga vijana wa kujichukulia sheria mkononi sasa yeye amefeata nini kule ?
03:34
Muda badoNalala best done.
Tando ndio niniKesho sijiui niende wapi nikatafute tando
Kaenda kutafuta chakula shambani.