JamiiForums Usiku wa manane
Halafu wee mtoto koma. Mzee nina majani ya silver? Au nimekuzaa miye hebu nipishe...
Usinizeeshe miye bado kabisa, hata my man ndiyo kwanza yuko mbichi hata 35 hana. Usituzeeshe siye
😂😂😂 watu mnachukia uzee mnanionea wivu nimezaliwa 2006 mnataka mludi utotoni
 
😂😂😂 watu mnachukia uzee mnanionea wivu nimezaliwa 2006 mnataka mludi utotoni
Thubutu unapenda udogo wakati ushanyoa ndevu kwa miaka 7 iliyopita...
Pole wee miye sipendi utoto kabisa, now ni mdada kabisa na najitambua vizuri.
Shida kwako weye, unayejiona katoto kumbe umemaliza sinza yote wanawake.
 
Thubutu unapenda udogo wakati ushanyoa ndevu kwa miaka 7 iliyopita...
Pole wee miye sipendi utoto kabisa, now ni mdada kabisa na najutambua vizuri.
Shida kwako weye, unayejiona katoto kumbe umemaliza sinza yote wanawake.
Sasa wewe mbona unanichamba kwa nguvu ivyo 😂😂😂 nisamee nimekosa mimi nimekosa mimi
 
Back
Top Bottom