JamiiForums Usiku wa manane

Mimi hata robo sikufikii, tena naona utakua unanichora sana nikiwa nakufundisha, na vile nina shati moja na kasuruali kamoja sijui itakuweje
Bahati yako sijuagi kuchora kabisa,ila hata ningejua nisingefanya hivyo,maana bado nina mengi ya kujifunza kutoka kwako....hasa ubobezi wa kuandaa hizi tiba mbadala za kuchanganya bobadia na piriton,supu ya ulimi wa mamba n.k
 
Bahati yako sijuagi kuchora kabisa,ila hata ningejua nisingefanya hivyo,maana bado nina mengi ya kujifunza kutoka kwako....hasa ubobezi wa kuandaa hizi tiba mbadala za kuchanganya bobadia na piriton,supu ya ulimi wa mamba n.k

Hakika wewe ni mwanafunzi mwema, na ninaahidi kutumia mbinu zangu zote kuhakikisha umefika kilele cha kuelewa, can't wait to teach you
 
23434703_510489885994305_294680306038947513_n.jpg
 
Back
Top Bottom