Enhee ikawaje![]()
![]()
![]()
Hii ya kuongea hii hata mimi hunitokea mama watoto anasema unapayuka unataka kuchinja mtu nikasema sio mimi kuna siku akanirecord
![]()
Share mkuu
Enhee ikawaje![]()
![]()
![]()
Hii ya kuongea hii hata mimi hunitokea mama watoto anasema unapayuka unataka kuchinja mtu nikasema sio mimi kuna siku akanirecord
![]()
Yani ulikua unaongea mwenyewe, usingizini?Nimeambiwa jana nilikua naongea usiku eti , nikachoka 😔😔😂😂😂
Room napaogopa
Leo naogopa ogopa
My mom kanambia jana nilikua na 'self talk night' nimekua so thrilled
Room kwangu napaogopa nipo tu huku sebeleni nawaza nafanyaje![]()
Levo za popo tumevuka. Humu ni😅 bundi tu 😅😅
Imagine time hii watu hata dalili ya usingizi hakuna 😅Kweli kabisa 😀
Kama hali imeshafikia huku basi ni suala la muda tu kwa dronedrake na Liverpool VPNHizi tetesi kwamba Mzee wa kupambania kafungishwa ndoa ya mkeka ni za kweli?
@Analyse ntu kazi,lindo bila wewe hatulali,ukiwepo jeshi la ntu mmoja na tunalala unamaliza ulinzi peke yako na posho zetu tunakupaJana na leo![]()
Nasubiri morning G.. Saev muda wa kupumzikaa.. Sio vita bhanaa😀😀😀Mapenzi matam ungekuwa macho muda huu? 😅😅😅
😂😂😂 kumbe siko mwenywe![]()
![]()
Hii ya kuongea hii hata mimi hunitokea mama watoto anasema unapayuka unataka kuchinja mtu nikasema sio mimi kuna siku akanirecord![]()
![]()
![]()
![]()
Yes numeambiwa hivoYani ulikua unaongea mwenyewe, usingizini?
AminaKalale usiogope ulipo bwana yupo nawe,weka kamziki
Hiyo kawaida mbona, watu wakilala huwa wanaongea mengi sana usitishike japo ni baadhi sio wote.😂😂😂 kumbe siko mwenywe
Yes numeambiwa hivo
Anhaaa haina madhara yoyote??Hiyo kawaida mbona, watu wakilala huwa wanaongea mengi sana usitishike japo ni baadhi sio wote.
BawaMapopo
Naskia kafumwa na mtoto wa shekh 😅😅Kama hali imeshafikia huku basi ni suala la muda tu kwa dronedrake na Liverpool VPN
Alienda kumbato mke wa mjeda jana nilivyosikia tena kamwagia ndani 🤔🤔🤔Hizi tetesi kwamba Mzee wa kupambania kafungishwa ndoa ya mkeka ni za kweli?