JamiiForums Usiku wa manane
Ni unakuta kuongea ni normal hususan kama ulikua umechoka sana kutwa yako ukipata usingizi mzito kuongea kunatokea kuna wakati nilikua naita majina ya watu wa kazini its normal
Tatizo unaongea sanaaa mchanaaa😂😂😂ukifika night unahisi bado ni mchana tuuu😆😆😆
 
Nasubiri morning G.. Saev muda wa kupumzikaa.. Sio vita bhanaa
Vita ni vita mpaka chenji isibaki ya mahari ,mzee wako kala mahari ng'ombe 10 na kitita cha miliona 10 acha pasuguke tu hujaja kulala
 
Waliopo lindoni muda huu, wengi wako singo; au hawana mahusiano mazuri na wenzi wao; nendeni mkaboreshe ndoa, kukaa lindoni sio sifa 😀😀😀
Tupo mapumzikoni mechi bado mbichi, tunavuta pumzi na juice ya matikiti tuendelee kupiga mikito tuingie round ya tatu, hatufananiiii we baki single mzee
 
Badilisha styl bhana alafu usiongee sana..Tia mpungaa hata kama ni mkeo mwambie mama chanjaa hii ya kitenge kesho ohoooo utaona kama hutaamshwa moningiii kupewa vyotee
Mambo ni mengi mnamahitaji mengi, hayo ni machache kati ya mengi mtuvuruge tu maana ubongo wa mwanaume ni kama computer unapokea una process na produce results
 
Back
Top Bottom