Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,743
- 6,283
Tatizo unaongea sanaaa mchanaaa😂😂😂ukifika night unahisi bado ni mchana tuuu😆😆😆Ni unakuta kuongea ni normal hususan kama ulikua umechoka sana kutwa yako ukipata usingizi mzito kuongea kunatokea kuna wakati nilikua naita majina ya watu wa kazini its normal




ya matikiti tuendelee kupiga mikito tuingie round ya tatu, hatufananiiii we baki single mzee