JamiiForums Usiku wa manane
sking
Unataka kulala?
Bado nipo
Screenshot (26).png
 
everything is temporary,,, nini kilikusibu ukasema kweeeeli, everything is temporary (ni kweli), ila kuna jambo
Yaani bado tuu mambo yapo mengi sana yanakuja
Ila lililofanya niseme kuwa kila kitu ni cha mpito tuu ..
Ni pale nilipopata shida na solution yake ilinibidi niwe cool kiasi ambacho kwa kipindi kile... daah
 
Yaani bado tuu mambo yapo mengi sana yanakuja
Ila lililofanya niseme kuwa kila kitu ni cha mpito tuu ..
Ni pale nilipopata shida na solution yake ilinibidi niwe cool kiasi ambacho kwa kipindi kile... daah
kweli. ngoja nikutaftie kaujumbe flani hapa nilikaonaga quora, ingawa naona kalikuja kufutwa ila mtandaoni kapo
 
Daah pole sana mkuu

Linapokuja suala la afya huwa natafakari sana.
Tunapitia hayo yote ila yatapita na yana mwisho mkuu
Fanya juu chini kikubwa afya yako iwe sawa
AFYA MTAJI
Nitaanzia hospital asubui nikamwone specialist fulanj, Kisha baada ya hapo lazima niende huko nikapambanie uhai wangu🙏🙏
 
Back
Top Bottom