Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,758
- 6,318
Halinaga jibu ilo.. Itakua ni selfishness maybe, 😂😂Inabidi mlijadili hilo kwenye vikao vyenu![]()
Halinaga jibu ilo.. Itakua ni selfishness maybe, 😂😂Inabidi mlijadili hilo kwenye vikao vyenu![]()
Same here...pesa inatafutwa for personal growth hiyo ndo main goalBahati nzuri natafuta hela niishi katika malengo yangu, familia ya wazazi wangu, na jamii inayostahili uwepo wangu .
Nothing else matters to me,Hawa wanawake hawajawai kunisumbua kichwa
Hi😇😇🤕🤬Sio lazma wakusumbue wewee,, kila mtu na background yake😂😂😂
Sio selfishness bali ni greedHalinaga jibu ilo.. Itakua ni selfishness maybe,![]()
Unajua mkuu kuna sehemu au muda ukifika kwa sisi wanaume,Same here...pesa inatafutwa for personal growth hiyo ndo main goal
Exactly tena wale wanao kuja kuchuma tu(Gold diggers)Unajua mkuu kuna sehemu au muda ukifika kwa sisi wanaume,
utaona Hawa wanawake ni Kama wanakutoa katika njia yako ya Safari ya mafanikio. Overated
Huku bongo Saivi ni saa 2:10 usiku ila China ni saa 2:10 asubuhi02:07
Nishasema kuwa if i get the right one and if she is worth it, basi sitofikiria mara 2× coz👉Exactly tena wale wanao kuja kuchuma tu(Gold diggers)
Pesa kwa mwanaumee ni muhimu hata utaweza ku enjoy hayo mapenzi
Mfano siku unatamani ukabadilishe mandhari unatoka tu na manzi yako,tofauti na ukiwa na hela za mawazo unashindwa hata kwenda ku refresh



Haahahh umewatukanaje mkuu?? 😂😂😂Nimetulia home muda huu ghafla, nahisi mitembeo ya watu nje ya dirisha la room yangu.
Ikabidi nisome mchezo kimtindo kumbe ni vijizi, nikaona nikohoe kwa sauti nikasindikiza na mtukano mzito!!
Walivyokimbizana huko nje nahisi watavunja miguu![]()
Hizi ni akili za usiku😇😇Haahahh umewatukanaje mkuu?? 😂😂😂
Haahahh umewatukanaje mkuu??![]()

njoo nikwambie kwa uzuri, si vyema nikalitaja humu maana ni gumu na ni zito sana.Andika kwa kifupii.. 😂😂njoo nikwambie kwa uzuri, si vyema nikalitaja humu maana ni gumu na ni zito sana.
Naona unajipigia pasi kitaalamu😇😇🤬, Dahannjoo nikwambie kwa uzuri, si vyema nikalitaja humu maana ni gumu na ni zito sana.
Andika kwa kifupii..![]()

kaka nimecheka kwa sauti ya juu